Msaada wa Mawazo wanabodi nimedsco chuo.

Msaada wa Mawazo wanabodi nimedsco chuo.

Joined
Aug 15, 2018
Posts
49
Reaction score
28
Mimi ni mwanafunzi hapo UDSM mwaka wa kwanza kwa bahati mbaya matokeo yangu hayakua mazuri kwa sababu mbalimbali kwaiyo nimedsco. Nilikua naomba msaada wa mawazo wanabodi...
1. Je!!, nikubaliane na matokeo nifanye ishu nyingine za maisha na je nianzie wapi..
2.Au nifanye mchakato wa kuappeal, na uo utaratibu wa kuaappel unakuaje.
NATANGULIZA SHUKURANI
 
Mimi ni mwanafunzi hapo UDSM mwaka wa kwanza kwa bahati mbaya matokeo yangu hayakua mazuri kwa sababu mbalimbali kwaiyo nimedsco. Nilikua naomba msaada wa mawazo wanabodi...
1. Je!!, nikubaliane na matokeo nifanye ishu nyingine za maisha na je nianzie wapi..
2.Au nifanye mchakato wa kuappeal, na uo utaratibu wa kuaappel unakuaje.
NATANGULIZA SHUKURANI
Kwani semister yakwanza matokeo yalikuwa mabovu kiasi kwamba hukuona ishara?
 
Karibu kwetu shamba. Waweza anzia Morogoro kwenda Mdaula kwenye kilimo cha nyanya flan inayoitwa "Kipato". Au ulime tikiti maji,
Ukienda shule huku una mawazo mawili yaani Raha na Ilim lazima upoteze moja. Kilimo utapumzika kivulini siku mzigo ukiingia darisalama. Unaweza kwenda tembelea marafiki pale mlimani baada tu ya miezi 4 hivi siku umeleta mazao dar.
 
Fanya yote appeal wakati huo huo ukiangalia fursa nyingine yeyote. Wasikukatishe tamaa hii inaweza ikakufanya ukafanya mambo mengi kwa ufanisi zaidi yaani utajua kuwa ukizembea wapotea. Usikate tamaa hata kidogo mkuu
 
sasa mwenyewe umekiri kuwa hukufanya vizuri halafu unataka ukate rufaa, hiyo ni ngumu kumeza. Kama ulikuwa na matatizo si ungehairisha mtihani/mwaka. Kama unataka kuendelea kusoma we omba kozi nyingine uanze upya. Ila rufaa kushinda ni ngumu sana.Ukiamua kurudi kitaa kazi zipo nyingi sana kulima, boda boda, machinga, kuchoma maindi, kuna forex, bitcoin unajichagulia tu
 
sasa mwenyewe umekiri kuwa hukufanya vizuri halafu unataka ukate rufaa, hiyo ni ngumu kumeza. Kama ulikuwa na matatizo si ungehairisha mtihani/mwaka. Kama unataka kuendelea kusoma we omba kozi nyingine uanze upya. Ila rufaa kushinda ni ngumu sana.Ukiamua kurudi kitaa kazi zipo nyingi sana kulima, boda boda, machinga, kuchoma maindi, kuna forex, bitcoin unajichagulia tu
Hii ndo jamiiforum hahhahhhahahahaha duh
 
Mimi ni mwanafunzi hapo UDSM mwaka wa kwanza kwa bahati mbaya matokeo yangu hayakua mazuri kwa sababu mbalimbali kwaiyo nimedsco. Nilikua naomba msaada wa mawazo wanabodi...
1. Je!!, nikubaliane na matokeo nifanye ishu nyingine za maisha na je nianzie wapi..
2.Au nifanye mchakato wa kuappeal, na uo utaratibu wa kuaappel unakuaje.
NATANGULIZA SHUKURANI
Fanya application upya kabla dirisha la usajili halijafungwa. Ukichelewa jaribu tena mwakani. Piga shule angali umri unaruhusu
 
Back
Top Bottom