Msaada wa mawazo, Please

Msaada wa mawazo, Please

Njaa

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2009
Posts
1,022
Reaction score
412
Hello wana-jamvi, naombeni mawazo katika hili

Nilinunua kiwanja huko Pugu kinyamwezi, nikajenga kajumba kangu kwa kuunga unga, kwa sababu uwanja wenyewe ni mdogo, shimo la choo (septic tank) nikaamua kujenga kwa mbele ya nyumba (ndani ya uzio). Sasa tatizo ni hili:-

Maeneo yale, water table ipo juu sana, hata kipindi cha kiangazi maji yapo karibu sana. Kipindi hiki cha mvua, maji yalipanda hadi yakasabisha uchafu kurudi kwenye chambers na hata ndani ya nyumba. Je hapo nifanyeje? Kuna mtu alinishauri kuwa nitumie zege pande zote (kusakafia) pamoja na floor. Lakini hili wazo naona ni hatari sana maana nitatakiwa kunyonya maji mara kwa mara (costs).

Najua ground water direction, wahandisi na wajenzi hebu nipeni wazo please.....

Nawakilisha
 
mawazo wazee...., nijengeje septic tank hili?
 
Picha pls

swissme

Picha ipi mkuu? ya septic au ya chamber ikiwa inacheua? sikupiga picha kipindi kile mkuu, nifanyeje maji yasijae hadi karibu na top, kumbuka pia maji ya bafuni na jikoni yote huja humu...
 
Hello wana-jamvi, naombeni mawazo katika hili

Nilinunua kiwanja huko Pugu kinyamwezi, nikajenga kajumba kangu kwa kuunga unga, kwa sababu uwanja wenyewe ni mdogo, shimo la choo (septic tank) nikaamua kujenga kwa mbele ya nyumba (ndani ya uzio). Sasa tatizo ni hili:-

Maeneo yale, water table ipo juu sana, hata kipindi cha kiangazi maji yapo karibu sana. Kipindi hiki cha mvua, maji yalipanda hadi yakasabisha uchafu kurudi kwenye chambers na hata ndani ya nyumba. Je hapo nifanyeje? Kuna mtu alinishauri kuwa nitumie zege pande zote (kusakafia) pamoja na floor. Lakini hili wazo naona ni hatari sana maana nitatakiwa kunyonya maji mara kwa mara (costs).

Najua ground water direction, wahandisi na wajenzi hebu nipeni wazo please.....

Nawakilisha

kina urefu gani kwenda chini? Slope kiasi gani bomba za maji taka inazo kuelekea shimo? Kwa maswali hayo nafikiri unaweza ukapata majibu
 
kina urefu gani kwenda chini? Slope kiasi gani bomba za maji taka inazo kuelekea shimo? Kwa maswali hayo nafikiri unaweza ukapata majibu

Hello Don, eneo lile ni flat sana, so slope ya kutoka chooni mpaka kwenye chambers and then mpaka shimoni ni ndogo (sikumbuki ni degree ngapi - mafundi wa mtaani). Shimo lenyewe ni refu kiasi (futi 12) na maji huwa yanajaa hadi karibu kabisa na mfuniko wa septic tank. Yani maji unaweza chota tu kwa kikombe. Siwezi pandisha bomba juu maana slope itakuwa kinyume

Njaa
 
wadau mmnipotezea? au wataalamu wa mambo haya hawapo jamvini tena? najua hoti topic kwa sasa ni safari ya Lowasa kwenda ikulu.
 
Mkuu hapo shida ipo !kama wazo la kuskafia huliafiki ilitakiwa at least kajumba kawe juu juu sana kwa maana at lest futi mbili kutoka usawa wa shimo.sakafia mkuu halafu lifungulie akaunti benki kwa ajili ya kufyonza urojo siku likijaa !
 
Mkuu hapo shida ipo !kama wazo la kuskafia huliafiki ilitakiwa at least kajumba kawe juu juu sana kwa maana at lest futi mbili kutoka usawa wa shimo.sakafia mkuu halafu lifungulie akaunti benki kwa ajili ya kufyonza urojo siku likijaa !

Hivi haiwezekani kusakafia upande ambao maji yanatoka na kuacha upande ambao maji yanaenda...?
 
Hivi haiwezekani kusakafia upande ambao maji yanatoka na kuacha upande ambao maji yanaenda...?
Si unajua sifa ya maji yakiona sehemu porous lazima ya fill .itakuwa sawa na kusema kuwa na debe unalitoboa matundu sehemu moja halafu ulizamishe mtoni utegemee maji yapite tu bila kuingia.
 
Back
Top Bottom