Kibishi
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 1,139
- 1,040
Basi shavuhuhitaji line ya chuo ni vocha tu. kama unaishi mbali na chuo unaweza nunua vocha za mwezi mzima ukakaa nazo kwenu
Basi shavuhuhitaji line ya chuo ni vocha tu. kama unaishi mbali na chuo unaweza nunua vocha za mwezi mzima ukakaa nazo kwenu
Neda udsm zinauzwa canteen.Kwa tunaoishi Dar tunazipata wapi hizi vocha?
Ukiipata hiyo vocha inawekwa ktk laini yoyote ya airtelHizo vocha kujiunga ni lazima laini yako mpaka iwe laini ya chuo au no vocha tu?
Kwa hiyo italeta shida kwenye kustream live channel maana kesho nilitaka kucheki mpira kwenye tablet yangukwangu inarange 8mbps hadi 12mbps. Airtel hawana ping nzuri ila speed yao ni nzuri
Ehe ila unaanza na *149*94*namba za vocha# okUkiipata hiyo vocha inawekwa ktk laini yoyote ya airtel
NimeipendaView attachment 396485
yap,Kwa hiyo italeta shida kwenye kustream live channel maana kesho nilitaka kucheki mpira kwenye tablet yangu
Ooh ping nzuri ni kuanzia ngapi mkuuyap,
pima na app ya speedtest utajua download speed na ping yako ili ujue mtandao unaokufaa
kwa kibongobongo iwe 30ms kushuka (29ms, 18ms, 10ms, 2ms etc)Ooh ping nzuri ni kuanzia ngapi mkuu
Sehem za vyuoni alaf wana mpk ya mwezi mm mwenywe nafkilia kuhamia artelKwa tunaoishi Dar tunazipata wapi hizi vocha?
Asante mkuu...Neda udsm zinauzwa canteen.