Msaada wa mawazo kwenye mitandao ya simu

Msaada wa mawazo kwenye mitandao ya simu

mikumiyetu

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2016
Posts
1,312
Reaction score
947
Habari za jioni wakubwa,nahitaji kufahamu mtandao wenye bando nzuri za internet ambao unatoa mb za kutosha kwa gharama kidogo kati ya Airtel,tigo,voda na halotel
 
Mi natumia airtel uni sh sh. 500 napata gb 1.2 kwa saa 48. Sijajua km hizi vocha zinatumika mikoa yote au vp
 
Mi natumia airtel uni sh sh. 500 napata gb 1.2 kwa saa 48. Sijajua km hizi vocha zinatumika mikoa yote au vp
Mkoa gani hiyo na menyu yake ya kupata hiko kifurushi ni ipi
 
Nimeipenda
1473356105030.png
 
Una haki kabisaa ya kutohama,na mimi nahamia nafungafunga mizigo
 
mi pia naungana na wadau hapo juu vocha za chuo airtel ndio zinatoa mb nyingi, kuongezea sh 600 unapata 10gb za saa 5 usiku hadi 12 asubuhi zitumike siku 3 na sh 1000 ni 2gb, dk 100 airtel-airtel na dakika 10 mitandao yote kwa siku 3
 
mi pia naungana na wadau hapo juu vocha za chuo airtel ndio zinatoa mb nyingi, kuongezea sh 600 unapata 10gb za saa 5 usiku hadi 12 asubuhi zitumike siku 3 na sh 1000 ni 2gb, dk 100 airtel-airtel na dakika 10 mitandao yote kwa siku 3
Tatizo hawa Jamaa speed ni 0 kabisa.
 
Mi natumia airtel uni sh sh. 500 napata gb 1.2 kwa saa 48. Sijajua km hizi vocha zinatumika mikoa yote au vp
Hizo vocha kujiunga ni lazima laini yako mpaka iwe laini ya chuo au no vocha tu?
 
Hizo vocha kujiunga ni lazima laini yako mpaka iwe laini ya chuo au no vocha tu?
huhitaji line ya chuo ni vocha tu. kama unaishi mbali na chuo unaweza nunua vocha za mwezi mzima ukakaa nazo kwenu
 
Back
Top Bottom