Msaada wa mawazo kuhusu Video Camera

Msaada wa mawazo kuhusu Video Camera

StudentTeacher

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2019
Posts
6,675
Reaction score
7,971
Salam wakuu

Natarajia kuanza project ya kurekodi video.

Je, ni camera ipi inafaa kwa kuanzia?

Na bei yake ipoje?
 
Salam wakuu

Natarajia kuanza project ya kurekodi video. Je ni camera ipi inafaa kwa kuanzia?. Na bei yake ipoje?

weka bajeti iliyopo mkononi au uliyotenga nikupe machaguo bora.......maana kuna models kibao na bei tofauti tofauti
 
Salam wakuu

Natarajia kuanza project ya kurekodi video.

Je, ni camera ipi inafaa kwa kuanzia?

Na bei yake ipoje?
Kwa Hio Budget ushauri wangu Go Mirrorless badala ya Dslr ambazo zimejaa Mtaani.

Mirrorless ni za kisasa upande wa Video, vitu kama stabilization, Focus, Resolution ya Video etc vipo vizuri.

Na budget yako ni kubwa una uwanja mpana wa kuchagua model nzuri.
 
Kwa Hio Budget ushauri wangu Go Mirrorless badala ya Dslr ambazo zimejaa Mtaani.

Mirrorless ni za kisasa upande wa Video, vitu kama stabilization, Focus, Resolution ya Video etc vipo vizuri.

Na budget yako ni kubwa una uwanja mpana wa kuchagua model nzuri.
Asante sana Chief
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom