Msaada wa matumizi ya dawa hizi

Msaada wa matumizi ya dawa hizi

Naxria abdalla

Senior Member
Joined
Feb 28, 2025
Posts
173
Reaction score
306
Hizi dawa zinafaa kula ukiwa unaumwa na kichwa?madoctor karibuni

20250319_125753.jpg
20250319_125730.jpg
 
Halafu mkuu Google tu utapata ufafanuzi. Mimi hata nikienda hospital nikapewa dawa lazima nigoogle nisome angalau nipate ABCs sio kubwia tu
 
Hizi dawa zinafaa kula ukiwa unaumwa na kichwa?madoctor karibuni

View attachment 3276261View attachment 3276262
Inategemea wewe unaitumia kwa malengo gani? Unajua hata mtu mwenye syphilis anaweza tumia... simply,
It used to prevent and treat infections Katika sehemu tofauti tofauti za mwili, kwenye ngozi, respiratory tract e.t.c so wewe unaitumia unasumbuliwa na infection ya kitu gani?
 
Back
Top Bottom