Msaada wa Maswali nafasi ya Afisa Mtendaji

Msaada wa Maswali nafasi ya Afisa Mtendaji

mndeva

Member
Joined
Aug 18, 2011
Posts
17
Reaction score
1
Habari wanajukwaa! Nimeitwa interview nafasi ya Afisa Mtendaji naomba hints kwa aliyewahi hudhuria hii interview ya hii nafasi. Natanguliza shukrani kwako.
 
Tumeitwa dar tar 14@return of cs

Kumbe tayari mchakato ushaanza!? Kuna mpwa wangu aliaply huko na akanunua kabisa kazi eti anaambiwa mchakato bado hata kutuma maombi ni kwa mkoa wa Tabora.

Tafadhali mlioko Tabora ishu zimefikia wapi juu ya nafasi za kazi ya afisa mtendaji!?
 
Kwa written ya utumishi nakushauri usome concept mbalimbali research
 
kama ni utumishi,inabidi urudi class tena.
 
Soma duties, challenge za hiyo kazi.utawezaje kusaidia kata yako kupata maendeleo
 
Jaribu kusoma vitu ambavyo ni current sana kama vile brn, na mambo ya almashauri coz hizo kaz unakuwa chini ya almashauri
 
Back
Top Bottom