Joseph Gadiel
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 451
- 765
Kwa yeyote aliyewahi kufanya practical hususan kwa kada ya ICT (Database administration) naomba utupe mwanga kidogo, Je Inatumika DBMS System ipi? Postgre, SSMS, MySQL nk Je Practical nayo hufanyika kwa njia ya online au kuna Msimamizi mtoa alama papo hapo?
Natanguliza shukrani
Natanguliza shukrani