Kwa waliowahi kufanya Practical Interview za utumishi hususani kada ya Database administration ilikuwaje?

Kwa waliowahi kufanya Practical Interview za utumishi hususani kada ya Database administration ilikuwaje?

Joseph Gadiel

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2022
Posts
451
Reaction score
765
Kwa yeyote aliyewahi kufanya practical hususan kwa kada ya ICT (Database administration) naomba utupe mwanga kidogo, Je Inatumika DBMS System ipi? Postgre, SSMS, MySQL nk Je Practical nayo hufanyika kwa njia ya online au kuna Msimamizi mtoa alama papo hapo?

Natanguliza shukrani
 
Back
Top Bottom