Msaada wa Ku'unlock Samsung 4GLTE

Msaada wa Ku'unlock Samsung 4GLTE

Habarini wakuu!

Tafadhari naomba msaada wa kuelekezwa jinsi ya ku unlock Samsung 4G LTE! Nikiwasha inaniandikia please enter your privacy protection password to unlock your phone! iwe na Line au isiwe nayo inaniandikia hivyo! Pia nimejaribu kuhold power button na volume down button inaniletea ku reboot nafanya hivyo lakini inakaa kidogo inanirudisha tena kwenye PIN code ku enter tafadhari
Hiyo inatakiwa uwe na akaunti ya samsung iliyosajiliwa hiyo simu. Ni kama I cloud ya iphone
 
hiyo ni copy kaka.tafuta fundi mwenye vifaa kazi afanye mavitu.
 
ndio mkuu nikiwasha nikikaa kidogo inajirudi tena kama kawaida na simu yangu haina memory card mwishon mwa yale maneno wananiambia no command
Una pata 'no command' error kule kwenye recovery mod?
Inawezekana unatumia button sio kule kwenye recovery mode wakati wa ku hard reset{Wipe data/ factory reset},,jaribu kufanya mambo haya,,kama unatumia Power button ku select option husika,badilisha tumia either,Volume Up key kuselect au Volume down key. Kivipi? Kama una navigate kwenye ile recovery mode menu kwa volume down,Basi selecting button inaweza kuwa PB au VP,na kama una navigate kwa volume up basi ni vice versa,selecting button inaweza kuwa PB au VD,,Mediatek devices nyingi huwa hazielewiki huko kwenye recovery,unaweza kuta inatumia order ya kawaida au button combination zipo ovyo ovyo,,so jaribu different combinations za hizo button
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom