Msaada wa kuunganisha PS4 na internet

Cesar

Senior Member
Apr 21, 2016
143
147
Wakuu,

Kwanza nawasalimu wote,pili natoa shukrani za dhati kwenu humu maana kuhusu mambo ya Tech and Gadgets hua nakula shule ya maana humu.

Leo nakuja na ombi/msaada wa jinsi gani naweza kuunganisha internent kwenye PS 4 maana maelekezo wanasema ni dowload playstation app kweny simu yangu ndio niweze fanikiwa,lakini 'playsation app' napata ujumbe not available in your country.

Jambo la pili kama nikiweza kuunganisha internent je naweza ku 'download' games ?

Ni hayo tu wakuu
 
Huitaji app yoyote kuunganisha PS4 na internet, unachohitaji ni uwepo wa wireless internet, aidha utumie, simu kufanya tethering au source yoyote kama router, laptop, access point, uende kwenye settings, za network kwenye ps4 yako utaweza connect, kuhusu ku download games unaweza, ni demo tu ila kama utaweza kulipia basi unaweza ku download full games na kuzicheza bila shida.
 
Huitaji app yoyote kuunganisha PS4 na internet, unachohitaji ni uwepo wa wireless internet, aidha utumie, simu kufanya tethering au source yoyote kama router, laptop, access point, uende kwenye settings, za network kwenye ps4 yako utaweza connect, kuhusu ku download games unaweza, ni demo tu ila kama utaweza kulipia basi unaweza ku download full games na kuzicheza bila shida.

shukrani sana kaka
 
Wakuu,

Kwanza nawasalimu wote,pili natoa shukrani za dhati kwenu humu maana kuhusu mambo ya Tech and Gadgets hua nakula shule ya maana humu.

Leo nakuja na ombi/msaada wa jinsi gani naweza kuunganisha internent kwenye PS 4 maana maelekezo wanasema ni dowload playstation app kweny simu yangu ndio niweze fanikiwa,lakini 'playsation app' napata ujumbe not available in your country.

Jambo la pili kama nikiweza kuunganisha internent je naweza ku 'download' games ?

Ni hayo tu wakuu
Games unadownload but with purchase. Yani unanunua ndo unadownload
 
Games unadownload but with purchase. Yani unanunua ndo unadownload
Mkuu bongo unaweza purchase game online toka PS4 store? .. Kama ndio unatumia njia ngani, I mean online payment..

Na pia account yako ya console ume set location ipi?
 
Back
Top Bottom