kwa 2015 hakikisha simu yako ni 64bit na pia ina 4g.
hapo ongeza kidogo tafuta simu kama huawei y550 utapata simu nzuri tu.
hii huawei nimecheki specification zake naiona iko poaw...dukani inauzwa shiling ngapi.?
ok nashukuru kwa msaada wako ila ndio hivyo sina ujanja wamenikamata. maana hata inanet natumia zaidi wireless nahesabu nishaibia hizo fedha,
Pole sana kaka ulinunua bei gani
Ofisini kuna Secretary anayo Xperia Z4, anasema kauziwa 190, 000
Na wasiojua wanapigwa sana, kuna mmoja aliniambia kanunua Sony Z2, nikamuuiza bei, akasema laki 2, nikamhurumia tu. Siku chache mbele analalamika Sony zinasumbua mtandao upo weak.Kuna jamaa zangu sio wazoefu wa simu, walinunua z4 mchina... Zina 2g na 4g tu.. Simu zinakera ni hamna.... Unachofaidi ni screen kubwa na umbo la simu!
Sasa hivi kuna Sony nyingi fake zipo sokoni, na ni fake haswa...!
na mimi mwenyewe nimejaribu kutangalia katika device inaniletea leimin katika internet nimecheck ni vitu vya ajabu havihusiani na simu, brand lmkj na ni kituko inabidi nicheke tu board plsale 777 ni jina la mtaa. nikaanagalia na samsung mini vyote vinamaanisha simu.