Msaada wa kupungua Uzito wa Mwili

Msaada wa kupungua Uzito wa Mwili

𝑴𝒔𝒂𝒂𝒅𝒂 𝒘𝒂 𝒌𝒖𝒑𝒖𝒏𝒈𝒖𝒂
𝑴𝒊𝒂𝒌𝒂 24 𝒌𝒊𝒍𝒐 94View attachment 2646279

Na una urefu gani?

Anyway, jaribu kupunguza kiwango cha vyakula vya wanga haswa nyakati za usiku, fanya mazoezi mepesi, acha matumizi ya pombe au sigara, epuka kunywa vinywaji vyenye sukari...

Mwisho kabisa, dinyana sana yaani sana iwe kama dozi hivi...
 
𝑴𝒔𝒂𝒂𝒅𝒂 𝒘𝒂 𝒌𝒖𝒑𝒖𝒏𝒈𝒖𝒂
𝑴𝒊𝒂𝒌𝒂 24 𝒌𝒊𝒍𝒐 94View attachment 2646279
diet inayokufaa kama kijana chipukizi

ukiamka asubuh tembea km 2 rudi hom oga halaf kunywa chai kavu

ikifika saa 11 jion kula msos wa kawaida kutuliza njaa tu sio mpaka ushibe,
ikifika usiku mtafute dem wako kapige mechi halaf kunywa maji tu ulale
next morning repeat the routine
 
diet inayokufaa kama kijana chipukizi

ukiamka asubuh tembea km 2 rudi hom oga halaf kunywa chai kavu

ikifika saa 11 jion kula msos wa kawaida kutuliza njaa tu sio mpaka ushibe,
ikifika usiku mtafute dem wako kapige mechi halaf kunywa maji tu ulale
next morning repeat the routine

Hafanyi kazi ya kutafuta pesa?
 
𝙉𝙖𝙤𝙢𝙗𝙚𝙣𝙞 𝙙𝙖𝙬𝙖 𝙮𝙖 𝙠𝙪𝙥𝙪𝙣𝙜𝙪𝙯𝙖 𝙢𝙬𝙞𝙡𝙞 𝙆𝙒𝘼 𝙜𝙝𝙖𝙧𝙖𝙢𝙖 𝙮𝙤𝙮𝙤𝙩𝙚
 
Punguza kula vyakula aina ya wanga ambavyo nafaka yake imekobolewa kula ugali wa dona, ndizi mihogo, viazi ,magimbi

Punguza chips, nyama choma, na vyakula vya kukaangwa

Punguza kunywa soda na pombe na juisi hizi zenye rangi

Usikae bure fanya kazi ,lima,chota maji,deki ndani ueke mwili busy epuka kukaa kwenye tv muda mrefu, kucheza gemu


Fanya mazoezi for at least 30 mins a day between week au throughout mfano jogging, squats, mazoezi ya bellu
 
𝑴𝒔𝒂𝒂𝒅𝒂 𝒘𝒂 𝒌𝒖𝒑𝒖𝒏𝒈𝒖𝒂
𝑴𝒊𝒂𝒌𝒂 24 𝒌𝒊𝒍𝒐 94

𝙉𝙖𝙤𝙢𝙗𝙚𝙣𝙞 𝙙𝙖𝙬𝙖 𝙮𝙖 𝙠𝙪𝙥𝙪𝙣𝙜𝙪𝙯𝙖 𝙢𝙬𝙞𝙡𝙞 𝙆𝙒𝘼 𝙜𝙝𝙖𝙧𝙖𝙢𝙖 𝙮𝙤𝙮𝙤𝙩𝙚View attachment 2646279
Pole sana, kama ni kweli na upo serious nicheki PM. Nitakusaidia na malipo ni baada ya matokeo, sitahitaji pesa yako hadi utakapofikia uzito unaoutaka wewe.

Asante.
 
Pole sana, kama ni kweli na upo serious nicheki PM. Nitakusaidia na malipo ni baada ya matokeo, sitahitaji pesa yako hadi utakapofikia uzito unaoutaka wewe.

Asante.
Nakujq
 
Chemsha mdalasini mpaka ubadilike kama chai ya rangi kunywa asubuhi na jioni.

Kuna mdalasini wa unga na magome

Usiweke sukari

Unaharufu Kali hivyo ukinywa Minya pua, ili usijekinai...

Mi ninakamwili fulani hivi...[emoji23]
Mwili Fulani Hivi
 
Punguza vyakula vya wanga dogo.

Kula chakula cha asubuhi na mchana. Jioni/usiku kula matunda na ikibidi 'bites' pekee.

Asubuhi kabla ya kula chochote kunywa maji ya moto/vuguvugu yaliyochanganywa na maji ya limau na tangawizi. Pia pendelea kunywa "Green tea".

Naishia hapa kwa leo. Ukipata mafanikio uje urudi kutoa ushuhuda.
 
Back
Top Bottom