Hebu acha masihara mkuu...unakaa nchi gani...nenda kwa majirani hapo hutafika nyumba ya tatu na paka utapata....au wataka link undownload.
Wakuu msaada nahitaji paka panya wamezidi ndani
Duuh sasa hao si watakua shume hao mkuukuna mtaa flani una paka kuliko kuku ngoja ntakuelekeza ukakamate
Uko wapi kuna jamaa anaitwa kenyata anauzaga hizo.Duuh sasa hao si watakua shume hao mkuu