chipalila1
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 259
- 31
simu yangu imezingua baada ya jaribio la kuiroot haiwaki inaishia kwenye logo, naomba msaada mwenye contact za Fundi mzuri atakaye nitatulia hili tatizo, pia kama kuna fundi kwenye jukwaa hili unaweza kuni pm ili tuweze kuwasiliana.
Natanguliza shukrani.
Natanguliza shukrani.