Msaada wa kupata fundi simu mzuri wa software

chipalila1

JF-Expert Member
Apr 6, 2012
259
31
simu yangu imezingua baada ya jaribio la kuiroot haiwaki inaishia kwenye logo, naomba msaada mwenye contact za Fundi mzuri atakaye nitatulia hili tatizo, pia kama kuna fundi kwenye jukwaa hili unaweza kuni pm ili tuweze kuwasiliana.
Natanguliza shukrani.
 
Back
Top Bottom