Msaada wa kunusuru ndoa yangu tafadhali

Msaada wa kunusuru ndoa yangu tafadhali

Onyinyeme

Senior Member
Joined
Aug 13, 2014
Posts
123
Reaction score
36
Salaam kwenu wadau! nina ndoa ya miaka 10

Naona kadri siku zinavyoenda nahisi uhitaji hii huduma muhimu, kwa miaka yote hiyo nimekuwa mwaminifu sijawahi kuchepuka, lakini nowadays hitaji langu liko juu sana ninapata hamu ya kudo kuliko kawaida! niko kwenye early 30's.

Huby yuko early 40's.muda wote tulioishi pamoja amekuwa hana hamu ya kudo kabisa, akijitahidi ni kamoja tu hawezi rudia tena.

Mara chache yeye kuwa na hamu ,na hili jambo ni kama halimpi shida.

Naombeni mawazo yenu nifanye nini'coz sipendi kuchepuka!mume wangu tunapendana,tumejaliwa watoto 3.

Jamani eeh tatizo la kupungukiwa nguvu lipo sana!msinibeze naombeni mawazo ya kunijenga.:A S 109::A S 109::A S 109::A S 109::A S 109:asante.

Msaada wenu pliiiiiz
 
Salaam kwenu wadau!nina ndoa ya miaka kumi,tangu niingie kwenye ndoa jamani sijafaidi tunda,naona kadri siku zinavoenda nahisi uhitaji hii huduma muhimu!kwa miaka yote hiyo nimekuwa mwaminifu sijawahi kuchepuka,lakini nowadays hitaji langu limo juu sana ninapata hamu ya kudo kuliko kawaida!niko kwenye mid 30's.huby yuko early 40's.muda wote tulioishi pamoja amekuwa hana hamu ya kudo kabisa,akijitahidi ni kamoja tu hawezi rudia tena'huko nyuma ilikuwa siyo ajabu kukaa hata miezi mi3 bila mgegedo,by that time haikuwa shida CJUI coz nilikuwa kwenye twenties sina uhakika.lakini siku hizi naumia sana kukosa dushe,mpaka nimekuwa na hisia za kutaka kuchepuka jamani,Mara chache yeye kuwa na hamu ili aina ze,na hili jambo ni kama halimpi shida,.naombeni mawazo yenu nifanye nini'coz sipendi kuchepuka!mume wangu tunapendana,tumejaliwa watoto 3. Jamani eeh tatizo la kupungukiwa nguvu lipo sana!msinibeze naombeni mawazo ya kunijenga.:A S 109::A S 109::A S 109::A S 109::A S 109:asanteni ..uuuuwwwiii msaada wenu pliiiiiz
No inbox nikupe mawazo, achana na mchepuko
 
Pole subiria wazoefu wanakuja kukupa ushauri
 
Dah! pole sana mkuu maana ni wanume wachache sana wanaweza kuanaglia na kumeza mate 2 bila kuonja, vp lkn mumewaona wataaluma wa masawala ya afya ya kujamiana??
 
Dah! pole sana mkuu maana ni wanume wachache sana wanaweza kuanaglia na kumeza mate 2 bila kuonja, vp lkn mumewaona wataaluma wa masawala ya afya ya kujamiana??

Asante Daudi,hayuko interested kwenda hospital
 
Pole sana

Zungumza na mwenzio

Kawaida mwanamke kadri umri unavyoenda ndio sex drive inaongezeka...tena hapo bado early 30? Subiri ufike 40 sasa....

Vunja ukimya mweleze mwenzio. Hukutoka kwenu kwenda kulala mzungu wa nne ulifata kifanyio.

Hata kama uwezo wake ni kamoja ila akupe mchezo wa haja goli la nguvu
 
Salaam kwenu wadau!nina ndoa ya miaka kumi,tangu niingie kwenye ndoa jamani sijafaidi tunda,naona kadri siku zinavoenda nahisi uhitaji hii huduma muhimu!kwa miaka yote hiyo nimekuwa mwaminifu sijawahi kuchepuka,lakini nowadays hitaji langu limo juu sana ninapata hamu ya kudo kuliko kawaida!niko kwenye mid 30's.huby yuko early 40's.muda wote tulioishi pamoja amekuwa hana hamu ya kudo kabisa,akijitahidi ni kamoja tu hawezi rudia tena'huko nyuma ilikuwa siyo ajabu kukaa hata miezi mi3 bila mgegedo,by that time haikuwa shida CJUI coz nilikuwa kwenye twenties sina uhakika.lakini siku hizi naumia sana kukosa dushe,mpaka nimekuwa na hisia za kutaka kuchepuka jamani,Mara chache yeye kuwa na hamu ili aina ze,na hili jambo ni kama halimpi shida,.naombeni mawazo yenu nifanye nini'coz sipendi kuchepuka!mume wangu tunapendana,tumejaliwa watoto 3. Jamani eeh tatizo la kupungukiwa nguvu lipo sana!msinibeze naombeni mawazo ya kunijenga.:A S 109::A S 109::A S 109::A S 109::A S 109:asanteni ..uuuuwwwiii msaada wenu pliiiiiz


Jaribu kuwaona wataalamu wa afya ukiwa mwenyewe,then uje umpe ushauri na kumueleza hisia zako.Lazima umbadilisha aje kwenye form ili mpate raha ya ndoa,miaka yake sio kigezo cha kushindwa sex,at least angekuwa mid 50 ningeona inawezakana kuwa na nguvu kidogo.Pia mshauri afanye mazoezi na kula natural food and fruits all the time.
 
Pole sana

Zungumza na mwenzio

Kawaida mwanamke kadri umri unavyoenda ndio sex drive inaongezeka...tena hapo bado early 30? Subiri ufike 40 sasa....

Vunja ukimya mweleze mwenzio. Hukutoka kwenu kwenda kulala mzungu wa nne ulifata kifanyio.

Hata kama uwezo wake ni kamoja ila akupe mchezo wa haja goli la nguvu

Ukifika 40 tell me...
 
Jaribu kuwaona wataalamu wa afya ukiwa mwenyewe,then uje umpe ushauri na kumueleza hisia zako.Lazima umbadilisha aje kwenye form ili mpate raha ya ndoa,miaka yake sio kigezo cha kushindwa sex,at least angekuwa mid 50 ningeona inawezakana kuwa na nguvu kidogo.Pia mshauri afanye mazoezi na kula natural food and fruits all the time.

Ok Donbeny nitajitahidi kufata ushauri wako.asante kwa ushauri
 
hilo ni tatizo na linatibika kama wampenda mzaz mwenzako fanya juhudi za kutatua tatizo. Yawezekana ana magonjwa kama ambayo huwa yanapunguza hamu ya mtu kudu lakin pia ukosefu wa nguvu za kijinsia. Usichepuke ila tafuta suluhu ya kitabibu kwa mwenzako
 
hilo ni tatizo na linatibika kama wampenda mzaz mwenzako fanya juhudi za kutatua tatizo. Yawezekana ana magonjwa kama ambayo huwa yanapunguza hamu ya mtu kudu lakin pia ukosefu wa nguvu za kijinsia. Usichepuke ila tafuta suluhu ya kitabibu kwa mwenzako

Kilambalambila nakushukuru sana.barikiwa
 
Back
Top Bottom