Msaada wa kunlock simu

Msaada wa kunlock simu

SILLENT KILLER 2

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2024
Posts
456
Reaction score
806
Wakuu za majukumu.najua hamjambo,kama kichwa kinavyojieleza hapo juu nilinunua simu aina digit4g energy kutaka vodacom lakni yenyewe ni smart kitochi.

Sasa simu hii lazima uweke laini ya voda ndo laini ingine isome.kwahiyo nilikuwa naomba kama kuna yeyote anaejua au mtaalamu naomba anisaidie.

Nawasilisha.
 
Back
Top Bottom