hivi Ashanti bado zinapatikana? ilikuwa inanifaa sana uso wangu
ha haaaaaaaaaaaaaaa, mahindi? mimi nimeitumia sana bwana na sikuwa nasikia hiyo harufuNi shanti banaa, sio Ashanti (hili ni jimbo naijeria huko)
Ilikuwaga inanuka kama mahindi yaliyotoka kukobolewa!
Ni shanti banaa, sio Ashanti (hili ni jimbo naijeria huko)
Ilikuwaga inanuka kama mahindi yaliyotoka kukobolewa!
huwa nasikia cream za aloevera nazo hazichubui, japo cjui hata jina moja...je kuna ukweli ndani ya hili? zinaitwaje..