dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,907
- 8,246
Mfano ulinunua gari ikiwa na rangi nyeusi, ukaichoka hiyo rangi na ukaamua kuweka nyeupe, je;
1. Kipi kitatangulia kufanywa; kati ya kubadilisha rangi (kwa fundi) au details kwenye kadi TRA?
2. Kama kimojawapo kikitangulia hapo juu, ndani ya muda gani unaruhusiwa kabla hujafanya madiliko kwenye kingine?
3. Gharama za kubadlisha details TRA ni shillingi ngapi?
Thanks in advance,
Wenu.
D.
1. Kipi kitatangulia kufanywa; kati ya kubadilisha rangi (kwa fundi) au details kwenye kadi TRA?
2. Kama kimojawapo kikitangulia hapo juu, ndani ya muda gani unaruhusiwa kabla hujafanya madiliko kwenye kingine?
3. Gharama za kubadlisha details TRA ni shillingi ngapi?
Thanks in advance,
Wenu.
D.