Habarini wana janvi, Nimejikusanya kwa kipindi sasa, na nimefikia uamuzi wa kununua gari ila tatizo langu ni kuwa sijui gharama za ushuru wa magari hapo TRA. nataka ninunue gari ya mwaka 2004 yenye ukubwa wa CC 2300 kwa gharama ya $ 10,700 CIF price, je naweza tozwa kiasi gani hapo TRA?. Please mwenye ujuzi na mambo haya anipe taarifa ili nione najipanga kivipi, nimefanya hivo nikijua kuwa hapa janvini kuna watu wenye ujuzi mbalimbali.