msaada wa kufungua kanisa la kiroho

msaada wa kufungua kanisa la kiroho

King Loto

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2018
Posts
1,757
Reaction score
1,541
Salaam wote

Nataka nifungue kanisa wakuu church and charity that helps many out there...

tupeane code wawakilishi wa makanisa ya kiroho, nataka niwafundishe watu wa mungu mambo mengi mazuri nikiwa mteule na kiongozi, nipo kwa ajili ya kuongoza watu walio wekwa vizuizini.

Kama kuna vibali na procedures za kuanza naombeni mwongozo wenu nyie watoaji vibali, bodi inayothibitisha makanisa ya kiroho.

Kanisa langu litalenga kusaidia wasio jiweza matatizo madogo madogo, nitatoa chakula, fedha kidogo za kujikimu, there we go....mimi nalenga kufanikiwa na kusaidia wengi.

Nipo dar es salaam
 
Salaam wote

Nataka nifungue kanisa wakuu church and charity that helps many out there...

tupeane code wawakilishi wa makanisa ya kiroho, nataka niwafundishe watu wa mungu mambo mengi mazuri nikiwa mteule na kiongozi, nipo kwa ajili ya kuongoza watu walio wekwa vizuizini.

Kama kuna vibali na procedures za kuanza naombeni mwongozo wenu nyie watoaji vibali, bodi inayothibitisha makanisa ya kiroho.

Kanisa langu litalenga kusaidia wasio jiweza matatizo madogo madogo, nitatoa chakula, fedha kidogo za kujikimu, there we go....mimi nalenga kufanikiwa na kusaidia wengi.

Nipo dar es salaam
Mkuu umesha pata roho mtakatifu au bado utampatia huko huko?
 
Salaam wote

Nataka nifungue kanisa wakuu church and charity that helps many out there...

tupeane code wawakilishi wa makanisa ya kiroho, nataka niwafundishe watu wa mungu mambo mengi mazuri nikiwa mteule na kiongozi, nipo kwa ajili ya kuongoza watu walio wekwa vizuizini.

Kama kuna vibali na procedures za kuanza naombeni mwongozo wenu nyie watoaji vibali, bodi inayothibitisha makanisa ya kiroho.

Kanisa langu litalenga kusaidia wasio jiweza matatizo madogo madogo, nitatoa chakula, fedha kidogo za kujikimu, there we go....mimi nalenga kufanikiwa na kusaidia wengi.

Nipo dar es salaam
Utalazimika kuwaona ma-freemason kama huna lengo la dhati la kufungua kanisa la kumtumikia YESUS KRISTO. Uwe tayari "kufanikiwa" lakini utaipoteza roho yako.
 
Umegundua biashara inakipa eee, sasa kabla ya kufungua nenda kwanza Nigeria au kama huwezi basi hapo Congo ukawekwe wakfu. Andaa kafara ya maana!!
 
Ongera lakon kama ungeweza ungefungus huduma hiyo apa msumbiji. Kwa apa wee nenda wizara ya mambo ya ndani tu
 
Utalazimika kuwaona ma-freemason kama huna lengo la dhati la kufungua kanisa la kumtumikia YESUS KRISTO. Uwe tayari "kufanikiwa" lakini utaipoteza roho yako.
Fremason kwani ni lazima wao au
 
Umegundua biashara inakipa eee, sasa kabla ya kufungua nenda kwanza Nigeria au kama huwezi basi hapo Congo ukawekwe wakfu. Andaa kafara ya maana!!
Huo wakfu vipi, kwamba roho yangu inakuwa rehani au
 
Fremason kwani ni lazima wao au
Kama una lengo la dhati basi mtafute mtumishi wa kweli wa Yesu Kristo atakusaidia, lakini fanya maombi makubwa sana kujua mapenzi ya Mungu kwako na kuomba kibali cha kufanya utumishi huo vinginevyo unaweza kupata shida kubwa kwabi vita yake ni kubwa mno.
 
Means Hujaitwa, kama Ungeitwa usingekuja hapa...!

Means huna Baba wa kiroho, hujalelewa, hujafundishwa na Wachungaji wazoefu juu ya huduma, coz ungekua na Baba wa kiroho usingepoteza Muda kuja kuuliza hapa.

Jaribu kutafuta Shughuri nyingine ya kufanya.
 
Angalia Nyota yako Ina wito wa unabii na uponyaji kama haina achana na hio ishu kafanye wito wako.
Ingekuwa ni rahisi tu bila wito kila mtu angefungua kanisa au kilinge cha uganga.
 
Means Hujaitwa, kama Ungeitwa usingekuja hapa...!

Means huna Baba wa kiroho, hujalelewa, hujafundishwa na Wachungaji wazoefu juu ya huduma, coz ungekua na Baba wa kiroho usingepoteza Muda kuja kuuliza hapa.

Jaribu kutafuta Shughuri nyingine ya kufanya.
Na shughuli nyingi, unaweza pata huyo baba wa kiroho na ukashindwa saidia watu
 
Angalia Nyota yako Ina wito wa unabii na uponyaji kama haina achana na hio ishu kafanye wito wako.
Ingekuwa ni rahisi tu bila wito kila mtu angefungua kanisa au kilinge cha uganga.
Sawa ndugu nipo kwa ajili ya kusaidia watu.
 
Kama una lengo la dhati basi mtafute mtumishi wa kweli wa Yesu Kristo atakusaidia, lakini fanya maombi makubwa sana kujua mapenzi ya Mungu kwako na kuomba kibali cha kufanya utumishi huo vinginevyo unaweza kupata shida kubwa kwabi vita yake ni kubwa mno.
Sawa kiongozi
 
Nakushauri

👉 Mafundisho yako yawalenge kina mama na dada zaidi

👉 Jitahidi waumini wakija ibadani wawe smart na wenye mvuto

👉 Jitahidi shuhuda zako ziwe ni shalom mama, shalom baby girl 😍 kama wa kiume sijui itakuwaje hapo 🤔

Shuhuda ziwe mtumishi nimepata gari, visa, nimeokota mamillion, ninekuta account Ina million ishirini,

Ujue kuwapanga vzr,

cc Lamomy anakuwa mkusanya sadaka
 
Back
Top Bottom