BALAGASHIA
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 392
- 383
Wanajamvi naombeni msaada wa kufikisha malalamiko yangu kwa wakuu hawa, kutokana na kitendo cha kinyama kilichofanywa na Afisa elimu S/M.
Mke wangu amekuwa akiomba uhamisho toka mwaka 2014 kutokana na matatizo mbalimbali ya kiafya. Anasumbuliwa na presha ya kushuka, madonda ya tumbo pia ni mjamzito.
Toka mwaka 2014 amekuwa akiomba uhamisho wa hiari asogee karibu na hospitali, Afisa Elimu huyu amekuwa akikataa kumuhamisha. Kinachosikitisha sasa hivi kaamua kumpa uhamisho wa malipo na kumpeleka mbali zaidi kwa kumkomoa.
Kutokana na miundombinu ya barabara kuwa mibovu huko alikompeleka imepelekea ujauzito wa mke wangu kuharibika.
Mke wangu amekuwa akiomba uhamisho toka mwaka 2014 kutokana na matatizo mbalimbali ya kiafya. Anasumbuliwa na presha ya kushuka, madonda ya tumbo pia ni mjamzito.
Toka mwaka 2014 amekuwa akiomba uhamisho wa hiari asogee karibu na hospitali, Afisa Elimu huyu amekuwa akikataa kumuhamisha. Kinachosikitisha sasa hivi kaamua kumpa uhamisho wa malipo na kumpeleka mbali zaidi kwa kumkomoa.
Kutokana na miundombinu ya barabara kuwa mibovu huko alikompeleka imepelekea ujauzito wa mke wangu kuharibika.