Evarm
JF-Expert Member
- Aug 30, 2010
- 1,934
- 1,400
"Ni wiki ya nne tokea mke wangu amesafishwa baada ya mimba kuharibika, ni jana amening'ang'ania sana kutaka huduma ya tendo la ndoa anadai kwamba amepona na ana hamu sana ya "mhogo". Nikampatia huduma bila ya ajizi na hatukutumia kinga yoyote."
Naomba kuuliza, je kuna uwezekano mkubwa wa yeye kushika tena mimba baada ya kufanya hiyo jana? Naomba wenye uelewa juu ya hili mnielimishe.
Naomba kuuliza, je kuna uwezekano mkubwa wa yeye kushika tena mimba baada ya kufanya hiyo jana? Naomba wenye uelewa juu ya hili mnielimishe.