Mimba huwa haitungwi kwa bahati mbaya

Kambi ya Fisi

JF-Expert Member
Feb 3, 2018
13,489
21,960
Wadada naomba mlishike hili, hakunaga mimba za bahati mbaya ama ajali.

Biblia inasema Mungu alituumba kwa namna ya ajabu sana. Katika uumbaji huo alilenga kuzaana na kuongezeka ili kuijaza dunia. Sasa basi tendo la ngono liliasisiwa na Mungu mwenyewe kwa lengo la kuzaana.

Kuna mabinti wajinga wajinga hivi hudhani kuwa ngono ni starehe tu hivyo wakiwashwa kidogo wanawaka, wakiguswa tu mimba inaitika halafu wanasingizia kuwa ni bahati mbaya.

Hakuna mimba ya bahati mbaya hapo.

Ni kawaida kwa wanawake wengi wakiwa ovulation hamu ya kufanya ngono kuongezeka. Ovulation ni wakati wanawake wana rutuba zaidi na wana uwezekano mkubwa wa kushika mimba. Ni njia iliyofanywa na Mungu mwenyewe ya asili ya kugeuza mwili wa mwanamke ili kuongeza nafasi za kuzaa. Anapokutana kingono na mwanaume kwa kipindi hicho mimba inaitika, hakuna cha mimba ya bahati mbaya hapo ataibeba kihalali kabisa, ndivyo Mungu alivyotuumba.

Vivyo hivyo kwa wanyama hakunaga cha mimba za bahati mbaya.

Ikiwa haupo katika mahusiano ya ndoa na hauna mpango wa kuzaa nje ya mahusiano hayo tafadhali dhibiti nyege zako kwa kufanya mazoezi ya mwili. Hii ni njia mojawapo ya kupunguza mvutano wa kijinsia katika mwili wako.

Njia nyingine ya ubunifu kudhibiti nyege ni kutumia shauku yako katika hobby au shughuli ya kujitolea. Kumbuka akili isiyofanya kazi ni warsha ya shetani.

Ushike huu ukweli kwamba ukipewa mimba nje ya mahusiano ya ndoa itakuwa umeitaka mwenyewe, na wala usimsingizie shetani hapo .

Ubarikiwe.
 
Kuna ile umehesabu siku zako vizuri tu(wale wa kalenda). Unajua leo ni safe ile mnakutana na baba chanja kitu kinajibu
.Hii sio ya bahati mbaya kweli.
Hiyo sio bahati mbaya 😅

Ingekuwa bahati mbaya hata upwiru ungetoweka kabla ya mechi.
 
umbuka akili isiyofanya kazi ni warsha ya shetani.
Karakana hahahahahaaaaaah!

Ilinichanganya mwanzoni, inakuja inakataa yaaaaaani imenichukulia sekunde kadhaa nikapause kwanza ndo nikaelewa chimbuko la mkanganyikoo.


Anyway, kiukweli mtu anapofanya mapenzi ajue kabisa kwamba upo uwezekano wa kuzaa na kama akizaa ajiandae tu.

Binafsi nishajiwekea silali na mwanamke ambaye sitarajii abebe mwanangu kama ikitokea. Wazo zuri
 
Hujautanua WiGo wako vyema ukaibarizi mada yako kwa kina ndio maana unasema hakuna mimba ya bahati mbaya?

Kwanza bahati mbaya ni kitu gani? Kiswahili rahisi ni kwamba nje ya matarajio/mipango/wakati usio sahihi nk.

Haya kutokana na tafsiri ya neno bahati mbaya itadondokea hapa; Alibakwa, alitushiwa maisha na ndugu, mwalimu vp kama mdhamini wake wa elimu ndio alimwambia "kama hutoi msaada unaishia hapa" nk.

Mara zote wanaume WADHAIFU ndio mwiba mmchungu kwa wanawake.
 
Upo sahihi Mkuu.

Wanawake wengi wanasahau kuwa wao ni Bidhaa adimu na wanapaswa kujitunza.

Single Mothers wengi ukiangalia sababu ni kutokujitunza na tamaa.
mwanamkee n bidhaa adimu njiaa Gani uko mkuu...

Au unazungumzia uadimu upi mkuu
 
Wadada naomba mlishike hili, hakunaga mimba za bahati mbaya ama ajali.

Biblia inasema Mungu alituumba kwa namna ya ajabu sana. Katika uumbaji huo alilenga kuzaana na kuongezeka ili kuijaza dunia. Sasa basi tendo la ngono liliasisiwa na Mungu mwenyewe kwa lengo la kuzaana.

Kuna mabinti wajinga wajinga hivi hudhani kuwa ngono ni starehe tu hivyo wakiwashwa kidogo wanawaka, wakiguswa tu mimba inaitika halafu wanasingizia kuwa ni bahati mbaya.

Hakuna mimba ya bahati mbaya hapo.

Ni kawaida kwa wanawake wengi wakiwa ovulation hamu ya kufanya ngono kuongezeka. Ovulation ni wakati wanawake wana rutuba zaidi na wana uwezekano mkubwa wa kushika mimba. Ni njia iliyofanywa na Mungu mwenyewe ya asili ya kugeuza mwili wa mwanamke ili kuongeza nafasi za kuzaa. Anapokutana kingono na mwanaume kwa kipindi hicho mimba inaitika, hakuna cha mimba ya bahati mbaya hapo ataibeba kihalali kabisa, ndivyo Mungu alivyotuumba.

Vivyo hivyo kwa wanyama hakunaga cha mimba za bahati mbaya.

Ikiwa haupo katika mahusiano ya ndoa na hauna mpango wa kuzaa nje ya mahusiano hayo tafadhali dhibiti nyege zako kwa kufanya mazoezi ya mwili. Hii ni njia mojawapo ya kupunguza mvutano wa kijinsia katika mwili wako.

Njia nyingine ya ubunifu kudhibiti nyege ni kutumia shauku yako katika hobby au shughuli ya kujitolea. Kumbuka akili isiyofanya kazi ni warsha ya shetani.

Ushike huu ukweli kwamba ukipewa mimba nje ya mahusiano ya ndoa itakuwa umeitaka mwenyewe, na wala usimsingizie shetani hapo .

Ubarikiwe.
uko sawa kabisa,
Na kitabibu ukitumia style za wanyama kwenye kujamiiana ni haraka tu mimba hutungwa
 
Haya kutokana na tafsiri ya neno bahati mbaya itadondokea hapa; Alibakwa, alitushiwa maisha na ndugu, mwalimu vp kama mdhamini wake wa elimu ndio alimwambia "kama hutoi msaada unaishia hapa" nk.
Nimeongelea ngono kwa mahusiano ya wapenzi, mambo ya rushwa ya ngono ama ubakaji yote hayo ni matukio ktk ngono, neno bahati mbaya linatumika pia kama ajali kuna kupatwa na kupata. Hayo mambo sikuyagusia kwa sababu dunia ya sasa inadili na matatizo hayo kisheria hivyo kuna solution ikitokea mwanamke akafanyiwa hayo, lazima kujiuliza pia kwa nini aombwe rushwa ya ngono au kwa nini abakwe, hayo yanaweza kuwa maamuzi ya mke ikiwa hatajiindoa mapema ktk mtego wa kubakwa ama kutoa rushwa ya ngono.

Ikiwa umewahi kufuatilia wanyama jike huwa hatoi kwa kulazimishwa bali hutoa kwa hiari kwa kuwa anataka mimba na ni muda wake muafaka wa kupata mimba hivyo hujiachia kwa dume.

Ndivyo ilivyo na kwa binadamu
 
Unamaanisha nini kwa hako kausemi?
Kausemi kanakamilika hv: "Kusikia kwa kenge ni damu masikioni" kana wenzake mfano: "Asiyesikia la mkuu huvunjika guu" "Majuto ni mjukuu huja kinyume" nazo humaanisha usijitie kiburi na ukaidi unapopewa Onyo au pale unaposhauriwa. Kudharau na kupuuzia maoni yatolewayo kwa faida yako hatimaye likikuta, watu husema kusikia kwa kenge ni damu masikioni i.e. kenge mnyama (huiba sana mayai ya kuku)anahulka ya kutokimbia au anaigiza kufa kumbe ni usanii tu anapopewa kipondo na hatimaye inabidi kubondwa kichwa na watu wakasema ili kuthibitisha kama kweli amekufa ni hadi uone damu ikitoka masikioni ndo atakuwa kafa kweli kabisa.
Misemo hii huwalenga wale watu wasiokuwa wasikivu, watiifu, watu wenye dharau na kiburi.
 
Back
Top Bottom