Msaada wa 'kubebwa' hostel Ustawi wa Jamii

Msaada wa 'kubebwa' hostel Ustawi wa Jamii

Si anasoma hizi comments basi ascreen shot vyeti vyake barua na matokeo yake nitamsaidia kumuombea kwa rafiki yangu asipofanya hivyo sitomwamini maana humu matapeli wengi
 
Mimi ni mdada nimepata chuo hapo Ustawi.
Sasa natafuta mdada au mwenyeji hapo DSM.
Nimeshindwa kulipia hosteli ila pesa ya kula haitanipiga chenga.
Nashukuru!
NB: Ambaye anaweza kunibeba ni lazima awe mdada. (Wakaka am sorry)
Natokea Arusha.
So PM me nitakupa my namba.
Toka 2007 wewe ni member wa JF, halafu unaenda chuo leo usoma Diploma...!

Acha urongo
 
Kwa kua yule ray nani sijui alikataa ombi langu,basi ntaanza rasmi kukufukuzia we mtoto mleta uzi,napenda sana kulaga 0713 zenu
 
Si anasoma hizi comments basi ascreen shot vyeti vyake barua na matokeo yake nitamsaidia kumuombea kwa rafiki yangu asipofanya hivyo sitomwamini maana humu matapeli wengi
Ngoja tumwambie alete picha zake
 
Back
Top Bottom