MNYAMAKAZI
JF-Expert Member
- Oct 7, 2014
- 2,118
- 2,198
Msaada we mlemavu? Kapange huko otherwise kuna unachotafuta.Asee we jamaa niaje?
Nimekuja kuomba msaada wewe unanitukana. Lol!
Msaada we mlemavu? Kapange huko otherwise kuna unachotafuta.Asee we jamaa niaje?
Nimekuja kuomba msaada wewe unanitukana. Lol!
AsanteKaribu Jf.
Wazee bwana tunastyle zetu flani amazing.Yeah kimya kimya.
hahahh shemejfusa hiyo mkuu changamka
Shemej si unaona 1year ndio kimeingia lazima kifundishwe mazingira ya chuo ha ha hahahahh shemej
te teh teh mkuu unataka uitumie fursa? naskia hili dumeUmejizibia riziki kwa kutuzuia wakaka, mimi ningelikukaribisha kwangu na room mbili na sebule na jiko na niko pekee yangu.
Anakuonea wivu huyo!!!Wewe ni mdada?
Hahaha...Kaja na ID mpya anajiita mercy j.....Huyu nna uhakika ni pungaKunusa kufuli za wadada ni ugonjwa?
Hiyo nayo ilikuwa yake
Huyu mwenyewe ni mwanaume anatupima tunavyotiririka kwenye PM yake.Msaada utapata kwa wanaume ila hakunaga cha Bure siku hizi
na wewe unatoa ndogo?Nasma mambo?
ngoja azoee shemej kwanzaShemej si unaona 1year ndio kimeingia lazima kifundishwe mazingira ya chuo ha ha ha