Msaada wa 'kubebwa' hostel Ustawi wa Jamii

Msaada wa 'kubebwa' hostel Ustawi wa Jamii

Kwanini wadada wengine mnapenda kulazimisha mambo?
Discussion in 'Mahusiano, mapenzi, urafiki' started by Black Bat, Jan 3, 2015.

Watch Thread
Page 1 of 3
123

  1. Black BatJF-Expert Member
    #1
    Jan 3, 2015

    Joined: Oct 4, 2007
    Messages: 3,457

    Likes Received: 481

    Trophy Points: 180
    Stori yenyewe ni hivi. Nina my girlfriend wangu toka muda sana ananilazimisha na kuniomba tujaribu kinyume na maumbile , ila kiukweli mimi sitokuja kufanya hii kitu kwa sababu kwanza sidhani kama nitaridhika na kutokana na Mungu alivyonijalia mimi sio [HASHTAG]#teambamia[/HASHTAG] kwa hio obviously nitamuumiza mlengwa.

    Ila huyu msichana wangu haangalii hilo, sasa mimi nilishapanga kuwa mimi na yeye mwisho ni mwaka jana nikamwambia na yeye akakubali. Alikuwa na mtindo wa kuja kwangu kila jumamosi mida ya saa tano sita.

    Leo mimi nikaja na mzigo wangu (ambaye ni rafiki yake ) ndani tumelala na mlango sikufunga kwa sababu najiamini niliudishia tu.
    Kushangaa naona mlango unafunguliwa na anaingia huyu ex wangu ambaye tumeshapeana bye bye.

    Namuuliza umefuata nini?
    Anaondoka kimya kimya.

    Nimfanyeje huyu mdada na wakati tulishamalizana naye toka mwaka jana kutokana na hitaji lake ambalo mimi silitaki kulitimiza?
Nilijua tuu ni lidume hili.
 
Kwanini wadada wengine mnapenda kulazimisha mambo?
Discussion in 'Mahusiano, mapenzi, urafiki' started by Black Bat, Jan 3, 2015.

Watch Thread
Page 1 of 3
123

  1. Black BatJF-Expert Member
    #1
    Jan 3, 2015

    Joined: Oct 4, 2007
    Messages: 3,457

    Likes Received: 481

    Trophy Points: 180
    Stori yenyewe ni hivi. Nina my girlfriend wangu toka muda sana ananilazimisha na kuniomba tujaribu kinyume na maumbile , ila kiukweli mimi sitokuja kufanya hii kitu kwa sababu kwanza sidhani kama nitaridhika na kutokana na Mungu alivyonijalia mimi sio [HASHTAG]#teambamia[/HASHTAG] kwa hio obviously nitamuumiza mlengwa.

    Ila huyu msichana wangu haangalii hilo, sasa mimi nilishapanga kuwa mimi na yeye mwisho ni mwaka jana nikamwambia na yeye akakubali. Alikuwa na mtindo wa kuja kwangu kila jumamosi mida ya saa tano sita.

    Leo mimi nikaja na mzigo wangu (ambaye ni rafiki yake ) ndani tumelala na mlango sikufunga kwa sababu najiamini niliudishia tu.
    Kushangaa naona mlango unafunguliwa na anaingia huyu ex wangu ambaye tumeshapeana bye bye.

    Namuuliza umefuata nini?
    Anaondoka kimya kimya.

    Nimfanyeje huyu mdada na wakati tulishamalizana naye toka mwaka jana kutokana na hitaji lake ambalo mimi silitaki kulitimiza?
Mods piga ban huyu..
Afu jamaa yupo JF kitambo sana tu .
Mods fanyeni kazi
 
Dahhh pole sana Dada mm mwenyewe nipo dar kwa wazazi nimechaguliwa hapo hapo ustawi wa jamii ningependa kukuchukua ila tatizo sitokaa home nitakaa kwa Dada jamani pole ngoja niongee na rafiki yangu akikubali nitakwambia ukakae nae maana wote ni school mate
 
Dahhh pole sana Dada mm mwenyewe nipo dar kwa wazazi nimechaguliwa hapo hapo ustawi wa jamii ningependa kukuchukua ila tatizo sitokaa home nitakaa kwa Dada jamani pole ngoja niongee na rafiki yangu akikubali nitakwambia ukakae nae maana wote ni school mate
Siyo mdada huyo ni dume na midevu tele!! Watu wameshamuumbua! Pitia posts
 
Dahhh pole sana Dada mm mwenyewe nipo dar kwa wazazi nimechaguliwa hapo hapo ustawi wa jamii ningependa kukuchukua ila tatizo sitokaa home nitakaa kwa Dada jamani pole ngoja niongee na rafiki yangu akikubali nitakwambia ukakae nae maana wote ni school mate
Njemba hiyo ngoja itakuja iwatafune wote na dada ako.
 
Dahhh pole sana Dada mm mwenyewe nipo dar kwa wazazi nimechaguliwa hapo hapo ustawi wa jamii ningependa kukuchukua ila tatizo sitokaa home nitakaa kwa Dada jamani pole ngoja niongee na rafiki yangu akikubali nitakwambia ukakae nae maana wote ni school mate
Wewe usijaribu..
Huyu ni mwanaume yupo jf toka 2007. Miaka ningapi?
 
Back
Top Bottom