Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,789
- 47,985
Sawa mkuuEndelea kujaribu hadi upate linalokubalika maana kila linalogoma tayar lina mtu. wewe tumia hata 'nyani' au 'jiwe' mambo yanasoma bila shida
Kivipi mkuu ?Sasa utapataje username hujajiandikisha... Jiregister kwanza
Thanks mkuuUsijali ndugu mana hata mimi nilipata msaada humu humu tena bila malipo yeyote hivyo jiskie huru kuuliza panapohitaji msaada. Kila la kheri mkuu
unapata bila shidaNina d ya geog na bios na e ya chemia je naweza kuchukua Bsc in agricultural economic and agribusiness
Asante sana mkuuunapata bila shida
Achana na SUA, nenda kaombe Mzumbe UniversityHabari zenu wadau.... Mi ni form six leaver nataka Niapply SUA nimelipia ile ya ada ya sh.10000 lakini nashindwa kuendelea sababu password sina.... Naomba mnisaidie njia lahisi ya kutumia ili kupata password
Axante mkuuUnajaza vyote mkuu
Msaada bro hii hoticulture ndo kozi gani?1.agriculture general
2.hoticulture
Mimi nipo Irrigation and water resource eng
Hiyo inahusu kilimo cha mbogamboga matunda na maua kama unavyosikia USARIVER pale arusha wanalima Sana MauaMsaada bro hii hoticulture ndo kozi gani?
vp mkuu sijambatisha cheti wakati naomba sua je kuna tatizo na ndio je naweza kuambatanisha na nikatuma tena au kutuma ni mara tu naomba msaadaHiyo inahusu kilimo cha mbogamboga matunda na maua kama unavyosikia USARIVER pale arusha wanalima Sana Maua
Uliregister kupitia simu? Maana naona simu zinagoma ila ukikubaliwa utakua na access ya ku upload mkuu usiogope maana matokeo yako tayari wanayapata bossgood
vp mkuu sijambatisha cheti wakati naomba sua je kuna tatizo na ndio je naweza kuambatanisha na nikatuma tena au kutuma ni mara tu naomba msaada
ndio mkuu sasa nawapigia simu ahawapatikani ni sokoine universityUliregister kupitia simu? Maana naona simu zinagoma ila ukikubaliwa utakua na access ya ku upload mkuu usiogope maana matokeo yako tayari wanayapata boss
Agriculture generalNaomba msaada kujua ni kozi gani mzuri ya kusoma hapo coz Nina d flat kweny combination ya PCB na ninahitaji kusoma hapo ..natanguliza shukran
Not easyNina d ya geog na bios na e ya chemia je naweza kuchukua Bsc in agricultural economic and agribusiness
Ajira zake vipi na pia fursa za kujiajiri ikoje mkuuAgriculture general
Agronomy
Food science
Bitechnology
Ajira siku hizi ni kuwa mvumilivu tu..kunawanaopata shavu ndani ya muda mfupi..ila pia wapo ambao hawajui hatima yao mpaka muda huuAjira zake vipi na pia fursa za kujiajiri ikoje mkuu