KiharoAbel
Member
- Jan 8, 2014
- 43
- 6
Habari zenu wadau.... Mi ni form six leaver nataka Niapply SUA nimelipia ile ya ada ya sh.10000 lakini nashindwa kuendelea sababu password sina.... Naomba mnisaidie njia lahisi ya kutumia ili kupata password
Tumia user name na password uliyotumia kujiandikisha ku-log in.Mimi nimeshindwa user name udom
Yani sijajiandikisha ndo nataka kujiandikisha ila user name kila nikiweka inagomaTumia user name na password uliyotumia kujiandikisha ku-log in.
Endelea kujaribu hadi upate linalokubalika maana kila linalogoma tayar lina mtu. wewe tumia hata 'nyani' au 'jiwe' mambo yanasoma bila shidaYani sijajiandikisha ndo nataka kujiandikisha ila user name kila nikiweka inagoma
Habari zenu wadau.... Mi ni form six leaver nataka Niapply SUA nimelipia ile ya ada ya sh.10000 lakini nashindwa kuendelea sababu password sina.... Naomba mnisaidie njia lahisi ya kutumia ili kupata password
Mkuu uko SUA ?????Ingia kwenye email uliyotumia kuregister utakuta password utalogin na kuendelea na usajili wako kama kawaida. Karibu SUA
Ndio mkuu karibuMkuu uko SUA ?????
Naomba msaada kujua ni kozi gani mzuri ya kusoma hapo coz Nina d flat kweny combination ya PCB na ninahitaji kusoma hapo ..natanguliza shukranNdio mkuu karibu
1.agriculture generalNaomba msaada kujua ni kozi gani mzuri ya kusoma hapo coz Nina d flat kweny combination ya PCB na ninahitaji kusoma hapo ..natanguliza shukran
Naomba msaada kujua ni kozi gani mzuri ya kusoma hapo coz Nina d flat kweny combination ya PCB na ninahitaji kusoma hapo ..natanguliza shukran
Kwa hiyo wanahitaji ufaulu upi kakaKama upo fresh Mathemetics ya olevel pia unaweza piga Bsc Biopressing and Post harvest engineering . Aina esabu ngumu wala kama bam ulikua unaipiga vizuri
D DKwa hiyo wanahitaji ufaulu upi kaka
Kuanzia Phy D chem D math ya o level Pia uwe uliifaulu hapo wanakuchukua MkuuKwa hiyo wanahitaji ufaulu upi kaka
Asante sana kaka
Nashukur sana naomba usisite kunishauri kwa msaada zaidi...na mungu atakubarikiKuanzia Phy D chem D math ya o level Pia uwe uliifaulu hapo wanakuchukua Mkuu
Usijali ndugu mana hata mimi nilipata msaada humu humu tena bila malipo yeyote hivyo jiskie huru kuuliza panapohitaji msaada. Kila la kheri mkuuNashukur sana naomba usisite kunishauri kwa msaada zaidi...na mungu atakubariki
Sasa utapataje username hujajiandikisha... Jiregister kwanzaYani sijajiandikisha ndo nataka kujiandikisha ila user name kila nikiweka inagoma