Rmma
Member
- Sep 15, 2013
- 67
- 5
Habarini wanajamii?Nina laptop yangu ambayo ina window 8 lakini yapata wiki sasa nikiweka modem haifanyi kazi na badala yake inaniandikia "activate window"Sasa niki crick neno activate inanigomea kwa vile internet haifanyi kazi, badala yake inaniambia ni activate kwa simu.
Kuna namba ya bure waliyotoa lakini kila nikipiga naambiwa namba ninayopiga haitambuliki.Wadau wa jamvini naombeni ushauri wenu nini cha kufanya ili niendelee kuiitumia hii laptop yangu?
Kuna namba ya bure waliyotoa lakini kila nikipiga naambiwa namba ninayopiga haitambuliki.Wadau wa jamvini naombeni ushauri wenu nini cha kufanya ili niendelee kuiitumia hii laptop yangu?