Power supply itakuwa imekufa au na worst case itakuwa ni Ubao mama (mother board) wote umeharibikaNilitumia adapter tofauti kwenye kompyuta yangu tangu hapo imekataa kuwaka,je ni kifaa kipi kitakuwa kimeharibika?kwa yeyote anayefahamu mafundi wa kompyuta wa kuaminika wanaopatikana dar naomba anipatie namba za simu.