Msaada wa kiufundi

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
26,401
Reaction score
29,058
Wakuu poleni na J.pili nzuri iliyotulia,

Mimi mwenzenu kuna kitu kinanitatiza kwenye simu yangu hii ninayotumia ni samsung galaxy. Sasa hapa juu karibu na hivi viminara vya data ikiwa on kuna kidubwana kinatokea hapo kama kijicho hivi au mchoro wa jua yaani kinatokea na kipotea nimejaribu kuseting simu lakini wapi.

Hivi wakuu wenye utaalamu na hivi vitu ni nini, ili nijue isije ikwa nafanyiwa udukuzi kama ule wa Cansela wa Ujerumani bila mimi kujua.
 
Piga screen shot urushe picha hapa utasaidika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…