thA goD
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 1,941
- 1,844
Habari,
Kutokana na tatizo la simu yangu (galaxy note3) kutoa sauti sikio moja tu la kushoto, nimepokea maoni mbalimbali, kwamba simu yaweza pokea earphone aidha ya njia mbili au tatu, sasa ombi la kwenu tena hili hapa, ni vipi nitatambua aina hizi za earphone?
Msaada tafadhali wakuu
Kutokana na tatizo la simu yangu (galaxy note3) kutoa sauti sikio moja tu la kushoto, nimepokea maoni mbalimbali, kwamba simu yaweza pokea earphone aidha ya njia mbili au tatu, sasa ombi la kwenu tena hili hapa, ni vipi nitatambua aina hizi za earphone?
Msaada tafadhali wakuu