Msaada wa kitabibu kupunguza genitial herpes kujirudia rudia, kila nikikaribia period

Mi Cielo

Member
Oct 27, 2018
10
15
Habari zenu ma Dr. natumai mu wazima wa afya.

Naomba kwenda moja kwa moja kwenye mada, ni kwa muda wa miaka miwili na kitu sasa nimekua nikisumbuliwa na vipele ambavyo vinatokea ukeni kila nikikaribia perio, hivi vipele vinaanza kama blisters (ni sawa na vile vidonda vya homa vinavyotokeaga mdomoni) then vinakuja vinapasuka vinakua kama kidonda napaka acylovir cream baada ya muda vinapotea narudi kawaida mpaka nikikaribia tena period vinarudi tena vinafanya tu kubadili location.

Mara ya kwanza vinanitokea vilitokeaga kwa kasi sana yani kila baada ya masaa flani unaskia kamuwasho mara kipele kimeshatutusuka hapo nilikua kwenye mahusiano mapya, na sijawahi pata hii kitu huko nyuma niliuekuwa naye akaniuliza kama nimewahi pata nikasema hapana ila baadaye ye ndo akaja kusema ye alishawahig kutokewa na hivo vipele ila vilipotea nikajisemea tu baaasi ndo hapa nimepata.

Kuna Dr. Nilikua na mawasiliano yake ikabidi nipige picha nimtumie maana nilikua mbali akaniambia hiyo ni herpes tumia dawa flani kwa siku flani ila ukipona kapime kaswende, nikatumia zile dawa nikawa sawa vikapotea vyote ila toka hapo ikawa ni kujirudia rudia kila mwezi nikawa narudia dawa zile zile ila badae nikawa situmii dawa tena napaka tu cream.

Ila nimeshachoka hii kitu mpaka na nilishajaribu kui google ni kitu haina tiba sema inapoa tu na kuja kuibuka tena, ila hii ya kunipata kila nikikaribia period ndo nachooka, nifanye nini ili kupunguza herpes reccurent ?

Nilishawahi kwenda hospitali vilikua kipindi hicho vimetokea vingi sana upande mmoja wa shavu la uke, nikaangaliwa nikaambiwa nipime vipimo viwili, kimoja cha damu kingine sikumbuki vizuri ila kilikua ghali nikaomba nipimwe tu hicho ninachomudu kwanza majibu yakaja Dr. Akasema ooh cells zako haziko normal zinasoma 27 wakati normal kwa mwanamke ni 10-15 (sikumbuk vizuri) nikapewa dozi ya kumeza mwezi mzima ila hali ikawa ileile hakukuwa na mabadiliko.

Yule aloniambiaga ni herpes mwanzo alishaniambiaga haina tiba nijitahidi tu kula matunda ya vitamin A.

Upande wa mahusiano aloniambukiza tulisha achana muda.
Hiyo picha ni jinsi vinavyoanza mpaka vinavoishilia.

IMG_20230705_234133.jpg
 
Pole sana😔😔😔

Hsv haina cure, kama ulivyoambiwa na daktari. Izo dawa umepewa zinasaidia kusuppress uo ugonjwa kwaivo usichoke kutumia dawa mkuu, na uendelee kula matunda kwa wingi ili kuongeza nguvu immunity yako.

NB: Iyo hali mara nyingi huzidi wakati ukiwa period kwa sababu ya hormonal changes mwilin.
 
Ni kweli, genital lesions hazina tiba kamili. Hivyo, zingatia matumizi ya dawa alizokupa daktari. Hizi husaidia kupunguza maumivu na hata kipindi cha maambukizi.

Huongezeka zaidi kipindi cha period kwa sababu ya ubadilikaji wa hormone na pia stress kipindi husika.

Hivyo, ili kupunguza yakupasa kujitahidi kupunguza msongo wakati wa period. Kula mlo kamili.

Zingatia usafi kwa kutumia sabuni ambazo ni antifungal. Mavazi yako pia yasiwe ya kubana sana kipindi cha period.

Kipimo alichokuandikia Daktari ni Full Blood Picture. Si ghali, huko nadhani haizidi 20k. Na alichokiobserve ni kiwango kikubwa cha seli nyeupe za damu (WBC).

Lakini, hiyo hali inaweza kuwa inasababishwa na hizo Herpes. Mwili unapopata shambulizi, hutengeneza askari zaidi kwa ajili ya mapambano.
 
Habari zenu ma Dr. natumai mu wazima wa afya.

Naomba kwenda moja kwa moja kwenye mada, ni kwa muda wa miaka miwili na kitu sasa nimekua nikisumbuliwa na vipele ambavyo vinatokea ukeni kila nikikaribia perio, hivi vipele vinaanza kama blisters (ni sawa na vile vidonda vya homa vinavyotokeaga mdomoni) then vinakuja vinapasuka vinakua kama kidonda napaka acylovir cream baada ya muda vinapotea narudi kawaida mpaka nikikaribia tena period vinarudi tena vinafanya tu kubadili location.

Mara ya kwanza vinanitokea vilitokeaga kwa kasi sana yani kila baada ya masaa flani unaskia kamuwasho mara kipele kimeshatutusuka hapo nilikua kwenye mahusiano mapya, na sijawahi pata hii kitu huko nyuma niliuekuwa naye akaniuliza kama nimewahi pata nikasema hapana ila baadaye ye ndo akaja kusema ye alishawahig kutokewa na hivo vipele ila vilipotea nikajisemea tu baaasi ndo hapa nimepata.

Kuna Dr. Nilikua na mawasiliano yake ikabidi nipige picha nimtumie maana nilikua mbali akaniambia hiyo ni herpes tumia dawa flani kwa siku flani ila ukipona kapime kaswende, nikatumia zile dawa nikawa sawa vikapotea vyote ila toka hapo ikawa ni kujirudia rudia kila mwezi nikawa narudia dawa zile zile ila badae nikawa situmii dawa tena napaka tu cream.

Ila nimeshachoka hii kitu mpaka na nilishajaribu kui google ni kitu haina tiba sema inapoa tu na kuja kuibuka tena, ila hii ya kunipata kila nikikaribia period ndo nachooka, nifanye nini ili kupunguza herpes reccurent ?

Nilishawahi kwenda hospitali vilikua kipindi hicho vimetokea vingi sana upande mmoja wa shavu la uke, nikaangaliwa nikaambiwa nipime vipimo viwili, kimoja cha damu kingine sikumbuki vizuri ila kilikua ghali nikaomba nipimwe tu hicho ninachomudu kwanza majibu yakaja Dr. Akasema ooh cells zako haziko normal zinasoma 27 wakati normal kwa mwanamke ni 10-15 (sikumbuk vizuri) nikapewa dozi ya kumeza mwezi mzima ila hali ikawa ileile hakukuwa na mabadiliko.

Yule aloniambiaga ni herpes mwanzo alishaniambiaga haina tiba nijitahidi tu kula matunda ya vitamin A.

Upande wa mahusiano aloniambukiza tulisha achana muda.
Hiyo picha ni jinsi vinavyoanza mpaka vinavoishilia.

View attachment 2679591
Habari yako bibie? Pole sana kwa maradhi yako Mkuu. Hakuna dawa ya Hospitali itakayo weza kukutibia na ukaweza kupona. Nitafute kwa wakati wako ili niweze kukutibia maradhi yako upate kupona uguwa pole.
Does herpes go away?
There is no cure for herpes
. The health care provider may prescribe antiviral medicine to help speed up the healing process. It also shortens the time when the virus can spread from the herpes sores.
Je, herpes huenda?
Hakuna tiba ya herpes. Mtoa huduma wa afya anaweza kuagiza dawa za kuzuia virusi kusaidia kuharakisha mchakato wa uponyaji. Pia hupunguza muda ambapo virusi vinaweza kuenea kutoka kwa vidonda vya herpes.
 
Pole sana😔😔😔

Hsv haina cure, kama ulivyoambiwa na daktari. Izo dawa umepewa zinasaidia kusuppress uo ugonjwa kwaivo usichoke kutumia dawa mkuu, na uendelee kula matunda kwa wingi ili kuongeza nguvu immunity yako.

NB: Iyo hali mara nyingi huzidi wakati ukiwa period kwa sababu ya hormonal changes mwilin.
Asantee nashukuru.
 
Ni kweli, genital lesions hazina tiba kamili. Hivyo, zingatia matumizi ya dawa alizokupa daktari. Hizi husaidia kupunguza maumivu na hata kipindi cha maambukizi.

Huongezeka zaidi kipindi cha period kwa sababu ya ubadilikaji wa hormone na pia stress kipindi husika.

Hivyo, ili kupunguza yakupasa kujitahidi kupunguza msongo wakati wa period. Kula mlo kamili.

Zingatia usafi kwa kutumia sabuni ambazo ni antifungal. Mavazi yako pia yasiwe ya kubana sana kipindi cha period.

Kipimo alichokuandikia Daktari ni Full Blood Picture. Si ghali, huko nadhani haizidi 20k. Na alichokiobserve ni kiwango kikubwa cha seli nyeupe za damu (WBC).

Lakini, hiyo hali inaweza kuwa inasababishwa na hizo Herpes. Mwili unapopata shambulizi, hutengeneza askari zaidi kwa ajili ya mapambano.
Kimoja kilikua 10k kingine 50k nilipima hcho cha 10k tu.
Asanteee nashukuru kwa ushauri mpendwa, ila hizo sabuni ni ya kutumia muda wote au pindi vikitokea tu?
 
Hizo cell nafikiri ni seli nyeupe .. Hio kitu Kwa uelewa wangu mdogo Lymphocytosis
nafikiri ulifanya full Blood Picture
inaashiria uwingi wa uzalishaji wa Cell nyeupe za damu ambazo zinapambana na Virus/bacteria
madaktari wanasema zikisoma nyingi sana inabudi upime HIV
ila kwa range hio ndio huashiria Virus hao ulionao ...
Jambo lolote linalohusika na VIRUS halina tiba kwa maana hio Recurrence huwa zinatokea sana ni kuangalia tu trigger ukizijua utapunguza recurrence
 
Aseeee haya magonjwa Mungu aniepushe nayo tu. 😢😢😢

Ni kama lifetime punishment maana there's no cure at all
 
Aseeee haya magonjwa Mungu aniepushe nayo tu. 😢😢😢

Ni kama lifetime punishment maana there's no cure at all
Mi nawazaga mpaka baaasi nakubaliana na hali tu, najutaga saaana kukutana na mtu yule, saivi naogopaga hata kuingia kwenye mahusiano maana ntamuambukiza tu mtoto wa mtu bure.
 
Habari zenu ma Dr. natumai mu wazima wa afya.

Naomba kwenda moja kwa moja kwenye mada, ni kwa muda wa miaka miwili na kitu sasa nimekua nikisumbuliwa na vipele ambavyo vinatokea ukeni kila nikikaribia perio, hivi vipele vinaanza kama blisters (ni sawa na vile vidonda vya homa vinavyotokeaga mdomoni) then vinakuja vinapasuka vinakua kama kidonda napaka acylovir cream baada ya muda vinapotea narudi kawaida mpaka nikikaribia tena period vinarudi tena vinafanya tu kubadili location.

Mara ya kwanza vinanitokea vilitokeaga kwa kasi sana yani kila baada ya masaa flani unaskia kamuwasho mara kipele kimeshatutusuka hapo nilikua kwenye mahusiano mapya, na sijawahi pata hii kitu huko nyuma niliuekuwa naye akaniuliza kama nimewahi pata nikasema hapana ila baadaye ye ndo akaja kusema ye alishawahig kutokewa na hivo vipele ila vilipotea nikajisemea tu baaasi ndo hapa nimepata.

Kuna Dr. Nilikua na mawasiliano yake ikabidi nipige picha nimtumie maana nilikua mbali akaniambia hiyo ni herpes tumia dawa flani kwa siku flani ila ukipona kapime kaswende, nikatumia zile dawa nikawa sawa vikapotea vyote ila toka hapo ikawa ni kujirudia rudia kila mwezi nikawa narudia dawa zile zile ila badae nikawa situmii dawa tena napaka tu cream.

Ila nimeshachoka hii kitu mpaka na nilishajaribu kui google ni kitu haina tiba sema inapoa tu na kuja kuibuka tena, ila hii ya kunipata kila nikikaribia period ndo nachooka, nifanye nini ili kupunguza herpes reccurent ?

Nilishawahi kwenda hospitali vilikua kipindi hicho vimetokea vingi sana upande mmoja wa shavu la uke, nikaangaliwa nikaambiwa nipime vipimo viwili, kimoja cha damu kingine sikumbuki vizuri ila kilikua ghali nikaomba nipimwe tu hicho ninachomudu kwanza majibu yakaja Dr. Akasema ooh cells zako haziko normal zinasoma 27 wakati normal kwa mwanamke ni 10-15 (sikumbuk vizuri) nikapewa dozi ya kumeza mwezi mzima ila hali ikawa ileile hakukuwa na mabadiliko.

Yule aloniambiaga ni herpes
Habari zenu ma Dr. natumai mu wazima wa afya.

Naomba kwenda moja kwa moja kwenye mada, ni kwa muda wa miaka miwili na kitu sasa nimekua nikisumbuliwa na vipele ambavyo vinatokea ukeni kila nikikaribia perio, hivi vipele vinaanza kama blisters (ni sawa na vile vidonda vya homa vinavyotokeaga mdomoni) then vinakuja vinapasuka vinakua kama kidonda napaka acylovir cream baada ya muda vinapotea narudi kawaida mpaka nikikaribia tena period vinarudi tena vinafanya tu kubadili location.

Mara ya kwanza vinanitokea vilitokeaga kwa kasi sana yani kila baada ya masaa flani unaskia kamuwasho mara kipele kimeshatutusuka hapo nilikua kwenye mahusiano mapya, na sijawahi pata hii kitu huko nyuma niliuekuwa naye akaniuliza kama nimewahi pata nikasema hapana ila baadaye ye ndo akaja kusema ye alishawahig kutokewa na hivo vipele ila vilipotea nikajisemea tu baaasi ndo hapa nimepata.

Kuna Dr. Nilikua na mawasiliano yake ikabidi nipige picha nimtumie maana nilikua mbali akaniambia hiyo ni herpes tumia dawa flani kwa siku flani ila ukipona kapime kaswende, nikatumia zile dawa nikawa sawa vikapotea vyote ila toka hapo ikawa ni kujirudia rudia kila mwezi nikawa narudia dawa zile zile ila badae nikawa situmii dawa tena napaka tu cream.

Ila nimeshachoka hii kitu mpaka na nilishajaribu kui google ni kitu haina tiba sema inapoa tu na kuja kuibuka tena, ila hii ya kunipata kila nikikaribia period ndo nachooka, nifanye nini ili kupunguza herpes reccurent ?

Nilishawahi kwenda hospitali vilikua kipindi hicho vimetokea vingi sana upande mmoja wa shavu la uke, nikaangaliwa nikaambiwa nipime vipimo viwili, kimoja cha damu kingine sikumbuki vizuri ila kilikua ghali nikaomba nipimwe tu hicho ninachomudu kwanza majibu yakaja Dr. Akasema ooh cells zako haziko normal zinasoma 27 wakati normal kwa mwanamke ni 10-15 (sikumbuk vizuri) nikapewa dozi ya kumeza mwezi mzima ila hali ikawa ileile hakukuwa na mabadiliko.

Yule aloniambiaga ni herpes mwanzo alishaniambiaga haina tiba nijitahidi tu kula matunda ya vitamin A.

Upande wa mahusiano aloniambukiza tulisha achana muda.
Hiyo picha ni jinsi vinavyoanza mpaka vinavoishilia.

View attachment 2679591

Habari!

Ni kweli kwamba Genital Herpes Simplex ni ugonjwa usiotibika na kuondoka mwilini moja kwa moja bali unaweza kuwa dormant/kimya kwenye mwili.

Kuna vitu viwili vinavyoweza kuufanya mwili ushindwe kuzuia utokeaji wa vipele:

1: Nguvu ya mfumo wa kinga ya mwili wa mhusika kuteteleka.

2: Kiasi cha virusi/ viral load kuwa kikubwa.

3: Mabadiliko ya mfumo wa vichocheo vya mwili mfano: wakati wa hedhi.

Ili kujiweka kwenye mazingira mazuri ni vyema kufanya mambo ambayo yataendelea kufanya mfumo wa kinga kuwa vyema na wakati huohuo kudhibiti kiasi cha idadi ya virusi.

Mfano:

1: Kula mlo kamili(wanga, protini, mbaga za majani na matunda), kulingana na aina ya kazi yako.

2: Kufanya mazoezi mepesi mwendelezo

3: Kujifunza kukabiliana na stress mbalimbali za maisha.

4: Kufanya tiba sahihi mara unapoumwa ugonjwa wowote.

5: Kufanya mapezi salama kwa kutumia kinga (kujikinga na kuwakinga wengine).

6: Kupima na kuhakikisha mhusika hana ugonjwa/magonjwa yanayoweza kuhusika kushusha mfumo wa kinga.

Pamoja na yote hapo juu, kama unapata outbreak/kujitokeza kwa vipele huaika mara 10 au zaidi kwa mwaka, dawa hutolewa ili kuusaidia mwili kushusha kiasi cha virusi.

Pia, kukagua kama kuna mienendo inayosababisha tatizo kujitokeza zaidi ya uliyong'amua.

Ni muhimu kumhusisha mtoa huduma ya afya ili kuangalia mwenendo mzima wa maisha na ufanye nini au usifanye nini kwa tatizo husika au utahitaji usaidizi upi.
 
Habari zenu ma Dr. natumai mu wazima wa afya.

Naomba kwenda moja kwa moja kwenye mada, ni kwa muda wa miaka miwili na kitu sasa nimekua nikisumbuliwa na vipele ambavyo vinatokea ukeni kila nikikaribia perio, hivi vipele vinaanza kama blisters (ni sawa na vile vidonda vya homa vinavyotokeaga mdomoni) then vinakuja vinapasuka vinakua kama kidonda napaka acylovir cream baada ya muda vinapotea narudi kawaida mpaka nikikaribia tena period vinarudi tena vinafanya tu kubadili location.

Mara ya kwanza vinanitokea vilitokeaga kwa kasi sana yani kila baada ya masaa flani unaskia kamuwasho mara kipele kimeshatutusuka hapo nilikua kwenye mahusiano mapya, na sijawahi pata hii kitu huko nyuma niliuekuwa naye akaniuliza kama nimewahi pata nikasema hapana ila baadaye ye ndo akaja kusema ye alishawahig kutokewa na hivo vipele ila vilipotea nikajisemea tu baaasi ndo hapa nimepata.

Kuna Dr. Nilikua na mawasiliano yake ikabidi nipige picha nimtumie maana nilikua mbali akaniambia hiyo ni herpes tumia dawa flani kwa siku flani ila ukipona kapime kaswende, nikatumia zile dawa nikawa sawa vikapotea vyote ila toka hapo ikawa ni kujirudia rudia kila mwezi nikawa narudia dawa zile zile ila badae nikawa situmii dawa tena napaka tu cream.

Ila nimeshachoka hii kitu mpaka na nilishajaribu kui google ni kitu haina tiba sema inapoa tu na kuja kuibuka tena, ila hii ya kunipata kila nikikaribia period ndo nachooka, nifanye nini ili kupunguza herpes reccurent ?

Nilishawahi kwenda hospitali vilikua kipindi hicho vimetokea vingi sana upande mmoja wa shavu la uke, nikaangaliwa nikaambiwa nipime vipimo viwili, kimoja cha damu kingine sikumbuki vizuri ila kilikua ghali nikaomba nipimwe tu hicho ninachomudu kwanza majibu yakaja Dr. Akasema ooh cells zako haziko normal zinasoma 27 wakati normal kwa mwanamke ni 10-15 (sikumbuk vizuri) nikapewa dozi ya kumeza mwezi mzima ila hali ikawa ileile hakukuwa na mabadiliko.

Yule aloniambiaga ni herpes mwanzo alishaniambiaga haina tiba nijitahidi tu kula matunda ya vitamin A.

Upande wa mahusiano aloniambukiza tulisha achana muda.
Hiyo picha ni jinsi vinavyoanza mpaka vinavoishilia.

View attachment 2679591
Pole sana dear
 
Back
Top Bottom