Msaada wa kisheria kuhusu talaka

SmithG

Member
Aug 11, 2010
67
2
Sheria ya ndoa inasemaje iwapo mtu ametengana na mke kwa zaidi ya miaka mitatu na walifunga ndoa kanisani?
 
kama walifunga ndoa kanisani bado ni wanandoa...
kutengana si hoja, walikuwa wanapumzika tu.
 
Kutengana kwa miaka mitatu kunaweza kutumika mahakamani kama ushahidi kuwa ndoa haina chance. Sidhani kama Kanisa linafactor in.
 
Mkuu sidhani kama sheria inajali mambo ya kanisa,
kisheria talaka ni mpaka pale mtakapoandikishiana talaka (divorce) basi, na sio kutengana, hata mkitengana miaka 50 bila kupeana talaka nyie bado ni mume na mke
 
Na je kama wakati wa kutengana mume keshaoa mke mwingine inakuwaje hapo.
 
mkiwa mmetengana bila kupeana talaka bado mtakuwa kwenye ndoa halali mpaka utakapompa talaka.
Ndoa itakuwa presumed kuwa imevnjka bila kutoa talaka ikiwa tu mmoja wao hajulikan aliko kwa mda mrefu skumbk mda vzur lakn n zaid ya miaka mitano.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom