Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,936
- 4,347
Ninapoishi huku Tegeta kuna jirani zangu wanalipa 3000\= kwa mwezi. Wengine wanalipa 5000\”=. Ila hawa jamaa wananibana kila mwezi eti nitoe 15,000/=.
Nikijaribu kukataa wananiambia gari ikipita wataacha taka zangu nje. Mwenye uelewa juu ya ulipaji taka Wilaya ya Kinondoni naomba anijuze.
Nahisi kama nafanyiwa dhulma!
Nikijaribu kukataa wananiambia gari ikipita wataacha taka zangu nje. Mwenye uelewa juu ya ulipaji taka Wilaya ya Kinondoni naomba anijuze.
Nahisi kama nafanyiwa dhulma!