samahan wataalam...nina swali, mm ni tayar mtumish wa umma katika taasis ya elimu ya ju, kuna kaz zmetangazwa hapa kazini kwa post ya juu zaid hivi naweza kuiomba kama waombaji wengne au kuna utaratbu upi wa kuufuata?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.