Natafuta kioo (Screen touch) cha Tecno Phantom AIII (aka M9). Mwenye nacho anijulishe tufanye biashara. Simu yangu ilidondoka ikapasua kioo kikawa hakisense chochote ninapokigusa.
unajua sometime simu zinakua zinaingiliana na simu nyengine. fungua simu yako kama huwezi kufungua nenda kwa fundi akufungulie akupe kioo mkononi na mkanda wake nenda madukani zunguka. pitia maduka haya.
-sapna lipo posta
-kwa rich lipo uhuru na agrey
-kwa mhindi lipo agrey
ukifika wao wakiangalia kioo tu watajua kama wanavyo kwa kuangalia mkanda na ukubwa wakioo.
Vp mkuu bei zake zinaendaje.... maaNa naskia vioo vya android viko juu saNa
inategemea ukubwa na quality ya kioo vipi vya elfu 20 hadi laki 3
Unaifahamu vizuri motorola droid razr xt912... sitakiii cha quality saNaa maaNa kilE original sidhan kama nitaweza bei yake mkuu..... hope cha 50k kitakuwa vizuri
kaka hujanielewa.
nikisema kioo cha quality simaanishi kwamba unaweza kuchagua quality nzuri na ambayo sio nzuri. namaanisha quality ambayo ipo kwenye specs za simu.
mfano wewe simu yako ni
-super amoled
-qhd 540x960
-4.3 inches
-gorilla
kwa kukisia kitakua around 80,000 hadi 130,000 sababu quality yake ni nzuri.
kaka hujanielewa.
nikisema kioo cha quality simaanishi kwamba unaweza kuchagua quality nzuri na ambayo sio nzuri. namaanisha quality ambayo ipo kwenye specs za simu.
mfano wewe simu yako ni
-super amoled
-qhd 540x960
-4.3 inches
-gorilla
kwa kukisia kitakua around 80,000 hadi 130,000 sababu quality yake ni nzuri.
Mkuu cha tecno p3 vipi naweza kupata.