Msaada wa kimatibabu

Msaada wa kimatibabu

Habari za wakati za mchana huu ndugu zangu na hope mko katika mihangaiko yenu ya kutwa nzima

Nina jambo langu ndugu zangu week kama ya pili inaanza leo viungo vyangu vya kiume sijui ni UTI AU kitu Gani, dalili ni hizi napata kunaungua, muda mwingine kama Kuna viwembe ndani kama vinakata, pia muda muwasho ndani ya muwasho naskilizia, tu naona muda nakuwa sawa muda vinaamka

Nakunywa maji ili nione Hali itakuwaje pia kingine sijashiriki siku nyingi Nina mtu mmoja jinsi ya kike Mimi kiasi sio mtu wa kurukaruka sijui huko mara huko nimetulia nae tu nae hayupo kwa Sasa, pia kupima Sina fedha ya vipimo Wala ya dawa naomba msaada wenu wa kifedha ndugu zangušŸ™šŸ™

0656351446 Ema
Si rahisi kupata msaada hivi kwa mwanaume ila angekua ungeona atakavyosaidiwa!
wanaume tumeumbiwa mateso na kukataliwa ili tupambane kwa hasira.ila pia wanaume tuna kasumba yakusaidia wakike kisa matumaini yakupata potassium utadhani wanatusaidiaga basi kumbe wanatukumbukaga tu wakiwa na shida zingine!
Wanaume tunakiwa tusaidiane maana ndo uanaume kuinuana.
Shida huku mitandaoni kuaminiana ngumu inaweza kua tapeli nk.

Chemsha huu mchanganyiko hata kwa viungo vichache utakavyovipata anza dozi kwa kutwa mara 2 kwa siku 7 hata kama ungekua na gono la vipi halitoboi kwa hiyo asili
 

Attachments

  • IMG_20260826_200618.jpg
    IMG_20260826_200618.jpg
    228.3 KB · Views: 1
Si rahisi kupata msaada hivi kwa mwanaume ila angekua ungeona atakavyosaidiwa!
wanaume tumeumbiwa mateso na kukataliwa ili tupambane kwa hasira.ila pia wanaume tuna kasumba yakusaidia wakike kisa matumaini yakupata potassium utadhani wanatusaidiaga basi kumbe wanatukumbukaga tu wakiwa na shida zingine!
Wanaume tunakiwa tusaidiane maana ndo uanaume kuinuana.
Shida huku mitandaoni kuaminiana ngumu inaweza kua tapeli nk.

Chemsha huu mchanganyiko hata kwa viungo vichache utakavyovipata anza dozi kwa kutwa mara 2 kwa siku 7 hata kama ungekua na gono la vipi halitoboi kwa hiyo asili
Hana pesa hata ya kununua hiyo mizizi msaidie mwanaume mwenzio kwa kumtumia pesa! Visingizo vya potqssium havitampa unafuušŸ˜Ž
 
Toka uzaliwe nina imani hujawahi kupima hicho kipimo cha U. T. I

AZUMA siyo dawa ya U. T. I mkuu, tuache kukariri mambo.
Hii ndiyo kitu me najua.. ila wabongo sasa..
Azuma ndio dawa naimudu kutumia nikipata nimonia, au nichague sindano..
kuna amoxclav pia kwa nimonia ila me siipendi vidonge vingi afu vikubwa kinoma
 
Hii ndiyo kitu me najua.. ila wabongo sasa..
Azuma ndio dawa naimudu kutumia nikipata nimonia, au nichague sindano..
kuna amoxclav pia kwa nimonia ila me siipendi vidonge vingi afu vikubwa kinoma
Wameshaigeuza azuma kama dawa ya magonjwa ya zinaa, wakati ni multipurpose! Ukienda kuinunua dukani unaificha kama misošŸ˜‚
 
Habari za wakati za mchana huu ndugu zangu na hope mko katika mihangaiko yenu ya kutwa nzima

Nina jambo langu ndugu zangu week kama ya pili inaanza leo viungo vyangu vya kiume sijui ni UTI AU kitu Gani, dalili ni hizi napata kunaungua, muda mwingine kama Kuna viwembe ndani kama vinakata, pia muda muwasho ndani ya muwasho naskilizia, tu naona muda nakuwa sawa muda vinaamka

Nakunywa maji ili nione Hali itakuwaje pia kingine sijashiriki siku nyingi Nina mtu mmoja jinsi ya kike Mimi kiasi sio mtu wa kurukaruka sijui huko mara huko nimetulia nae tu nae hayupo kwa Sasa, pia kupima Sina fedha ya vipimo Wala ya dawa naomba msaada wenu wa kifedha ndugu zangušŸ™šŸ™

0656351446 Ema

View: https://vt.tiktok.com/ZSVqBJ3Hf/
 
Back
Top Bottom