Habari za wakati za mchana huu ndugu zangu na hope mko katika mihangaiko yenu ya kutwa nzima
Nina jambo langu ndugu zangu week kama ya pili inaanza leo viungo vyangu vya kiume sijui ni UTI AU kitu Gani, dalili ni hizi napata kunaungua, muda mwingine kama Kuna viwembe ndani kama vinakata, pia muda muwasho ndani ya muwasho naskilizia, tu naona muda nakuwa sawa muda vinaamka
Nakunywa maji ili nione Hali itakuwaje pia kingine sijashiriki siku nyingi Nina mtu mmoja jinsi ya kike Mimi kiasi sio mtu wa kurukaruka sijui huko mara huko nimetulia nae tu nae hayupo kwa Sasa, pia kupima Sina fedha ya vipimo Wala ya dawa naomba msaada wenu wa kifedha ndugu zangu🙏🙏
0656351446 Ema
Nina jambo langu ndugu zangu week kama ya pili inaanza leo viungo vyangu vya kiume sijui ni UTI AU kitu Gani, dalili ni hizi napata kunaungua, muda mwingine kama Kuna viwembe ndani kama vinakata, pia muda muwasho ndani ya muwasho naskilizia, tu naona muda nakuwa sawa muda vinaamka
Nakunywa maji ili nione Hali itakuwaje pia kingine sijashiriki siku nyingi Nina mtu mmoja jinsi ya kike Mimi kiasi sio mtu wa kurukaruka sijui huko mara huko nimetulia nae tu nae hayupo kwa Sasa, pia kupima Sina fedha ya vipimo Wala ya dawa naomba msaada wenu wa kifedha ndugu zangu🙏🙏
0656351446 Ema