Hello,
Wakuu nimesajili kampuni juzi sasa nahitaji kwenda kufungua bank account kwa ajili ya transaction za hii kampuni yangu inaoperate interms of dollars,
naombeni ushauri
1.)ni bank gani wanatoza ada ndogo kwa transactions
2.)ni bank gani naweza kupata mkopo wenye riba ndogo after my 1 year of operations
3.)ni idea nzuri kuwa na bank accounts zaidi ya kampuni moja katika bank tofauti tofauti mfano kampuni XYZ inakuwa na account stanbic na bank abc?
4.)bank gani nzuri katika kufanya transaction za dollars (mfano juzi nlienda bank kubwa tu hapa nchini cha ajabu teller dolla 100 ananishangaa kama vile naweka pesa za escrow )
Ahsante kwa ushauri wako.
Wakuu nimesajili kampuni juzi sasa nahitaji kwenda kufungua bank account kwa ajili ya transaction za hii kampuni yangu inaoperate interms of dollars,
naombeni ushauri
1.)ni bank gani wanatoza ada ndogo kwa transactions
2.)ni bank gani naweza kupata mkopo wenye riba ndogo after my 1 year of operations
3.)ni idea nzuri kuwa na bank accounts zaidi ya kampuni moja katika bank tofauti tofauti mfano kampuni XYZ inakuwa na account stanbic na bank abc?
4.)bank gani nzuri katika kufanya transaction za dollars (mfano juzi nlienda bank kubwa tu hapa nchini cha ajabu teller dolla 100 ananishangaa kama vile naweka pesa za escrow )
Ahsante kwa ushauri wako.