Msaada wa jinsi ya kutuma barua ya kazi kwa njia ya barua pepe (e-mail)

kabilili

Member
May 30, 2012
50
4
Jamani hivi ukiandika barua ya maombi ya kazi huwa ukishamaliza kuiandika kwenye Microsoft word unai-copy halafu unai-paste kule kwenye e-mail kwenye chmba cha ujumbe? Au unai-attach kama CV au academic certificate halafu ile nafasi ya kwenye e-mail inabaki hivohivo wazi?
 
Sababu moja wapo ya wengi kukosa kazi.
Hivi unafikiri HR manager au boss wa sehemu unayoomba kazi atafungua attachment km hujaandika hiyo attachment inahusu nini?
Attach barua, andika na ujumbe kuhusu attachment ulizoweka. Email attachment bila ujumbe ni sifuri.

Uki copy n paste hyo sio barua.
 
Sababu moja wapo ya wengi kukosa kazi.
Hivi unafikiri HR manager au boss wa sehemu unayoomba kazi atafungua attachment km hujaandika hiyo attachment inahusu nini?
Attach barua, andika na ujumbe kuhusu attachment ulizoweka. Email attachment bila ujumbe ni sifuri.

Uki copy n paste hyo sio barua.
Asante kwa ushauri mzuri mkuu.
 
Andika barua vizuri kwa Microsoft Word. Then attach ktk email. Ila subject iwe inajitosheleza kuwa umeattach nn. Pia unaweza kueleza kidogo ktk main body. Kila la heri


I stand to be corrected
 
mi ndivyo navyoandika toa maelekezo
basi kama umefanikiwa mshukuru mungu wako au inawezekana uliaply pekeyako..coz unapoandika hivyo ni vipi HR au mtu wa majasijala anaweza iprint barua yako..au unataka unampa kazi ya kuanza kukutengenezea word doc.
Kwa kazi hiz za nafasi moja kushindaniwa na watu 10000 usijaribu tena kufanya hivyo
 
Mimi nilikua naandika kwenye main body na nilikua naitwa kwenye usaili.
 
basi kama umefanikiwa mshukuru mungu wako au inawezekana uliaply pekeyako..coz unapoandika hivyo ni vipi HR au mtu wa majasijala anaweza iprint barua yako..au unataka unampa kazi ya kuanza kukutengenezea word doc.
Kwa kazi hiz za nafasi moja kushindaniwa na watu 10000 usijaribu tena kufanya hivyo
asante
 
Jamani hivi ukiandika barua ya maombi ya kazi huwa ukishamaliza kuiandika kwenye Microsoft word unai-copy halafu unai-paste kule kwenye e-mail kwenye chmba cha ujumbe? Au unai-attach kama CV au academic certificate halafu ile nafasi ya kwenye e-mail inabaki hivohivo wazi?

Mkuu, wataalam wa mambo wanashauri njia nzur ya kutuma cover letter ni kuichapa kwa word then copy and paste cover letter yako kwenye uwanja wa email yako sababu kwa kufanya hivyo itamlazimu mpokeaji kuisoma barua yako ya maombi, baada ya hapo iattach pamoja na docs zingine kama cv na vyeti ili kama ikihitajika kuprintiwa ichukuliwe kutoka kwenye attachment uliyotuma..
Na pia attachments zako zipe majina kulingana na content husika iliyomo..
 
Mbona me naandika pale kwny email composer then nina attach na cv nawadondoshea na nimeitwa kwny intrvw kwa style hyo!
 
Mbona me naandika pale kwny email composer then nina attach na cv nawadondoshea na nimeitwa kwny intrvw kwa style hyo!
Na ulishinda hyo interview....
The best way andika barua in word, zipe majina kulingana na doc husika zen ziattach..kwenye kucompose unaweza ukaandika heading kulingana na application unayoifanya mfano: RE: APPLICATION FOR THE POST OF TUTORIAL ASSISTANT, Zen njoo chini kwenye kuandika unaanza;
Dear Sir ( Kama ni mwanamume) au Dear Madam (Kama nimwanamuke) au Dear Sir/ Madam (Kam huna uhakika) Shuka chini anza para ingine;
Kindly refer the caption/ heading above.
I am a skilled Electrical Engineer with ten year of experience in Industrial and project management and I am interested to apply the mentioned post.(Kwa kifupi unandika summary yako siyo kila kitu) zen unamaliza......
Kindly consider the attachments.
Your sincerely
Kabiii Kazimoto.
So mengine atayakuta kwenye attachments.
Ihope utakua umepata msaada
 
Na ulishinda hyo interview....
The best way andika barua in word, zipe majina kulingana na doc husika zen ziattach..kwenye kucompose unaweza ukaandika heading kulingana na application unayoifanya mfano: RE: APPLICATION FOR THE POST OF TUTORIAL ASSISTANT, Zen njoo chini kwenye kuandika unaanza;
Dear Sir ( Kama ni mwanamume) au Dear Madam (Kama nimwanamuke) au Dear Sir/ Madam (Kam huna uhakika) Shuka chini anza para ingine;
Kindly refer the caption/ heading above.
I am a skilled Electrical Engineer with ten year of experience in Industrial and project management and I am interested to apply the mentioned post.(Kwa kifupi unandika summary yako siyo kila kitu) zen unamaliza......
Kindly consider the attachments.
Your sincerely
Kabiii Kazimoto.
So mengine atayakuta kwenye attachments.
Ihope utakua umepata msaada
acha kuzingua watu wewe,kila mtu ana style yake ya kuandika barua,kikubwa ni content ieleweke.
 
Back
Top Bottom