Msaada wa haraka

Msaada wa haraka

Boniphace Bembele Ng'wita

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2013
Posts
3,533
Reaction score
1,936
Wakuu,
Nnavya andika hivi nyumban kunamgogoro mkubwa, watoto wa nje ya ndoa wanataka kuiuza nyumba ambayo mama yangu ameachiwa na MME wake ambae alikwisha Fariki miakaa 3 iliyopita, wamemfanyia fujo mpaka sasa mama presha imepanda.

Naombeni msaada nifanyeje? Maama mm npo dar na mama yangu yupo geita. Plz msaada ni wa haraka ili nmsaidie mama yangu.

Nawasilisha wakuuu.
 
Marehemu aliacha wosia kwani? Pia wapeleke kwenye vyombo vya sheria kabla ya majanga
 
Pole kwani mirathi inasemaje? Kama mzee hakuwaandika humo aende mahakamani, kama aliwaandika urithi na wao pia inabidi muite wanasheria iuzwe mgawanywe. Kama hawajaandikwa akimaliza kesi bora aiuze ahame eneo hilo itakuwa ni uhasama kila siku
 
unaposema watoto wa nje unamaanisha nini labda ni watoto halali ambao baba mme wake aliwazaa hiki kitu kinaweza kuamriwa kisheria tu wala si kibabe nangalia mirathi inasemaje kama mirathi haijafunguliwa inabidi ifunguliwe kila kitu kitawekwa wazi wakati huu mnaweza kwenda kuweka zuio mahakamani mpaka pale mirathi itakapofunguliwa kama bado haijafunguliwa
 
Pole kwani mirathi inasemaje? Kama mzee hakuwaandika humo aende mahakamani, kama aliwaandika urithi na wao pia inabidi muite wanasheria iuzwe mgawanywe. Kama hawajaandikwa akimaliza kesi bora aiuze ahame eneo hilo itakuwa ni uhasama kila siku
Mkuu asante bt kuuza sawa ila ryt nw kunamgogoro,hata cjui nifanyeje,yaan mkuu nimechanganyiliwa wakuu m npo dar.
 
unaposema watoto wa nje unamaanisha nini labda ni watoto halali ambao baba mme wake aliwazaa hiki kitu kinaweza kuamriwa kisheria tu wala si kibabe nangalia mirathi inasemaje kama mirathi haijafunguliwa inabidi ifunguliwe kila kitu kitawekwa wazi wakati huu mnaweza kwenda kuweka zuio mahakamani mpaka pale mirathi itakapofunguliwa kama bado haijafunguliwa
Mkuu asante hilo zuio naliwekaje? Maana mm npo dar, kumbuka mkuu mama alikuwa mke wa ndoa wa marehemu, je sheria inatambua au kusema nn kuhusu haki ya mama?
 
Mkuu asante hilo zuio naliwekaje? Maana mm npo dar, kumbuka mkuu mama alikuwa mke wa ndoa wa marehemu, je sheria inatambua au kusema nn kuhusu haki ya mama?
Kuna kitu kinaitwa cavity wala hakigharimu pesa nyingi mfate mwanasheria yoyote wa serikali atakuelekeza na watakwambia vitu gani unahitaji kuwa navyo haijalishi upo wapi
 
Kuna kitu kinaitwa cavity wala hakigharimu pesa nyingi mfate mwanasheria yoyote wa serikali atakuelekeza na watakwambia vitu gani unahitaji kuwa navyo haijalishi upo wapi

Nadhani unamaanisha "caveat" au zuio la kisheria. Hiyo nyumba kama ina hati. Hiyo hati iwekewe "caveat". Kwa kufanya hivyo biashara hapo itasimama mpaka hilo zuio litakapo pata ufumbuzi.
 
Nadhani unamaanisha "caveat" au zuio la kisheria. Hiyo nyumba kama ina hati. Hiyo hati iwekewe "caveat". Kwa kufanya hivyo biashara hapo itasimama mpaka hilo zuio litakapo pata ufumbuzi.

Asante mkuu, je kama hati hakuna maana Eneo hlo ndo walikuwa wanapima, ila mama na mzee wameishi hapo toka mwaka87 na kufunga ndoa 93...
 
naomba mungu anisaidie nipate vyangu...
 
Lazima uende mahakaman cz hiyo ni Matrimonial Asset.hawana haki kuiza kinyemela lazima wakubaliane pande zote.
 
Kama wosia hawakuandikwa ndo mirathi hiyo hawana haki. Mahakama huwa inatambua hilo kuna wa mama wanapozaa na mtu kazi kudai matunzo na elimu bila kujali anajenga au vipi. Mwisho wa siku huwa anaandikwa mke aliyeishi nae maana ndie kachangia kujenga. Ila ili apate amani kesi ikiishi uza aondoke hapo.
 
Kama wosia hawakuandikwa ndo mirathi hiyo hawana haki. Mahakama huwa inatambua hilo kuna wa mama wanapozaa na mtu kazi kudai matunzo na elimu bila kujali anajenga au vipi. Mwisho wa siku huwa anaandikwa mke aliyeishi nae maana ndie kachangia kujenga. Ila ili apate amani kesi ikiishi uza aondoke hapo.
Nashukru, sasa mama anaweza kupauza bila kuingiliwa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom