Feld Marshal Tantawi
JF-Expert Member
- Dec 24, 2014
- 609
- 1,006
Wakuu wasalam
Bila kupoteza mda nina shangaz yangu anapakana na mama mmoja ambapo kuna ugomv ulitokea na huyo mama kupelekeka kes mahakaman
Ishu ilisababishwa na paka wa huyo mama jiran kwenda kulia mlangon kwa shangaz na shangaz katika kumfukuza bas watoto wa yule mama waliona kile kitendo na ndipo wakaenda kumwambia mama yao kuwa shangaz kampiga yule paka
Sasa yule mama akaanza ongea kwa saut kuwa kama akiua paka wangu bas taua watoto wake yan watoto wa shangaz na ndipo shangaz nae baada ya kusikia hivo akamfata yule mama nyumban kwake na wakaanza tukanana na kurishiana maneno mbalimbali
Sasa yule mama kawahi polis kafungua jalada kwamba shangaz kamwita mchawi na kuwa anafuga majin na maseha na anataka kesi imeenda mahakaman na hivo ijumaa ndio siku kesi hio inasomwa
Sasa nimekuja kwenu wadau naomba msaada wa maswali ya kupambna na yule mama mana polis wanasema kitendo cha shangaz kumfata kwake hilo ni kosa
Sasa wajuv wa sheria nlileta kwenu ili tuone tunatokaje kwenye hilo sakata
N.b yule mama kafungua kes ya kudhalilishwa kwa kuitwa mchawi na yeye kufuga majini
Bila kupoteza mda nina shangaz yangu anapakana na mama mmoja ambapo kuna ugomv ulitokea na huyo mama kupelekeka kes mahakaman
Ishu ilisababishwa na paka wa huyo mama jiran kwenda kulia mlangon kwa shangaz na shangaz katika kumfukuza bas watoto wa yule mama waliona kile kitendo na ndipo wakaenda kumwambia mama yao kuwa shangaz kampiga yule paka
Sasa yule mama akaanza ongea kwa saut kuwa kama akiua paka wangu bas taua watoto wake yan watoto wa shangaz na ndipo shangaz nae baada ya kusikia hivo akamfata yule mama nyumban kwake na wakaanza tukanana na kurishiana maneno mbalimbali
Sasa yule mama kawahi polis kafungua jalada kwamba shangaz kamwita mchawi na kuwa anafuga majin na maseha na anataka kesi imeenda mahakaman na hivo ijumaa ndio siku kesi hio inasomwa
Sasa nimekuja kwenu wadau naomba msaada wa maswali ya kupambna na yule mama mana polis wanasema kitendo cha shangaz kumfata kwake hilo ni kosa
Sasa wajuv wa sheria nlileta kwenu ili tuone tunatokaje kwenye hilo sakata
N.b yule mama kafungua kes ya kudhalilishwa kwa kuitwa mchawi na yeye kufuga majini