Mwinjilist mtume nabii
JF-Expert Member
- Feb 21, 2015
- 2,437
- 1,097
Kuna mfanyakazi wa Kampuni ya Sukari Kilombero alisimamishwa kazi,,,,,kwa madai eti alipost taarifa ya kampuni kwny mtandao bila kibali.
Ni kwamba kulikuwa na mvutano Wa nyongeza ya mshahara kati ya mwajiri na chama cha wafanyakazi ambapo w/Kazi walichagua kutaka kugoma, na Katibu mkuu Wa TPAWU Taifa Mh Kabwengwe akatoa waraka Wa kuruhu mgomo huo. Lakn kabla ya cku ya mgomo kufika ,, Kampuni ikatoa nayo waraka Wa kupinga mgomo huo kwa kusema haukufuata sheria
Sasa waraka huo wa Kampuni ndio mfanyakazi huyu aliuweka kwenye facebook ili kuwajulisha,,,,,,ndipo hapo uongozi Wa Kampuni unasema amefanya makosa kutuma kwny mtandao.
SWALI
1. Je hilo ni kosa???
2. Kesi no J3 kaambiwa aende na mashaidi,,,je mashaidi ni lazima wawe nao ni wafanyakazi was kampuni hii????? Au MTU unaemwamini???
3. Naomba kujua na vifungu vya utetezi hapo
Ni kwamba kulikuwa na mvutano Wa nyongeza ya mshahara kati ya mwajiri na chama cha wafanyakazi ambapo w/Kazi walichagua kutaka kugoma, na Katibu mkuu Wa TPAWU Taifa Mh Kabwengwe akatoa waraka Wa kuruhu mgomo huo. Lakn kabla ya cku ya mgomo kufika ,, Kampuni ikatoa nayo waraka Wa kupinga mgomo huo kwa kusema haukufuata sheria
Sasa waraka huo wa Kampuni ndio mfanyakazi huyu aliuweka kwenye facebook ili kuwajulisha,,,,,,ndipo hapo uongozi Wa Kampuni unasema amefanya makosa kutuma kwny mtandao.
SWALI
1. Je hilo ni kosa???
2. Kesi no J3 kaambiwa aende na mashaidi,,,je mashaidi ni lazima wawe nao ni wafanyakazi was kampuni hii????? Au MTU unaemwamini???
3. Naomba kujua na vifungu vya utetezi hapo