Msaada wa haraka unahitajika.

yello masai

JF-Expert Member
Jan 8, 2016
3,542
3,502
Naomba niende moja kwa moja kwenye tatizo.
Ni kwamba mke wangu kajifungua ni siku ya tatu sasa hatoi maziwa hata tone. Yamegoma kabisa kutoka.

Kwa sasa mtoto anapewa maziwa ya Lactogen 1. Nina wasi wasi kama haya maziwa yataweza kuimarisha afya ya mtoto kama ambavyo maziwa ya mama yangefanya.

Hospital tumeenda lakini hatujapata msaada zaidi.

Naombeni ushauri, nifanyeje? Je niendelee kumpa lactogen?

Mrejesho:
Nawashukuru sana wote mliochangia kwenye uzi huu na mlionifata PM kunishauri zaidi. Tulitumia unga wa mbegu za maboga pamoja na pilipili mamga. Maziwa yametoka vizuri sana mpaka Lactogen mtoto haitaki tena.

Tatizo lililobaki ni kwamba mtoto anasumbuliwa na chango. Usiku halali, anateseka sana. Nimenunua dawa ya infacol baada ya gripe water kutosaidia kabisa. Kaanza jana kutumia. Kama kuna mwenye ushauri katika hili nitashukuru sana.

Nawashukuru sana wana JF.

Cc: MNANSO
Smart911
Membe Jr
Sky Eclat
Madame S
 
Naomba niende moja kwa moja kwenye tatizo.
Ni kwamba mke wangu kajifungua ni siku ya tatu sasa hatoi maziwa hata tone. Yamegoma kabisa kutoka.

Kwa sasa mtoto anapewa maziwa ya Lactogen 1. Nina wasi wasi kama haya maziwa yataweza kuimarisha afya ya mtoto kama ambavyo maziwa ya mama yangefanya.

Hospital tumeenda lakini hatujapata msaada zaidi.

Naombeni ushauri, nifanyeje? Je niendelee kumpa lactogen?
Mpe uji wenye pilipili manga pia aendelee kumpa chuchu mtoto,yatatoka tu.Wa kwangu yalianza kutoka baada ya wiki mbili
 
Naomba niende moja kwa moja kwenye tatizo.
Ni kwamba mke wangu kajifungua ni siku ya tatu sasa hatoi maziwa hata tone. Yamegoma kabisa kutoka.

Kwa sasa mtoto anapewa maziwa ya Lactogen 1. Nina wasi wasi kama haya maziwa yataweza kuimarisha afya ya mtoto kama ambavyo maziwa ya mama yangefanya.

Hospital tumeenda lakini hatujapata msaada zaidi.

Naombeni ushauri, nifanyeje? Je niendelee kumpa lactogen?
Usipanic brother mwambie aendelee kumpa ziwa mtoto aendelee aendelee aendelee kumpa ziwa mtoto mala kwa mala
Kuna connection kubwa ya hisia mwisho wa siku lazima yatatoka tu
Mama ale vyakula vya kumsaidia atengeneze maziwa huku akiendelea kumnyonyesha
Trust me bro ngoma itajibu ndani ya masaa 24
 
Usipanic brother mwambie aendelee kumpa ziwa mtoto aendelee aendelee aendelee kumpa ziwa mtoto mala kwa mala
Kuna connection kubwa ya hisia mwisho wa siku lazima yatatoka tu
Mama ale vyakula vya kumsaidia atengeneze maziwa huku akiendelea kumnyonyesha
Trust me bro ngoma itajibu ndani ya masaa 24
Asante kwa ushauri. Nitafanya hivyo mkuu
 
Awe anakoroga kijiko cha chakula cha unga wa uwatu na maji ya uvugu uvugu kutwa mara tatu kwa kila siku, na pia awe anakula ufuta kila mara.
 
Naomba niende moja kwa moja kwenye tatizo.
Ni kwamba mke wangu kajifungua ni siku ya tatu sasa hatoi maziwa hata tone. Yamegoma kabisa kutoka.

Kwa sasa mtoto anapewa maziwa ya Lactogen 1. Nina wasi wasi kama haya maziwa yataweza kuimarisha afya ya mtoto kama ambavyo maziwa ya mama yangefanya.

Hospital tumeenda lakini hatujapata msaada zaidi.

Naombeni ushauri, nifanyeje? Je niendelee kumpa lactogen?
Tafuta unga wa mbegu za maboga achanganye na uji au chakula chochote, maziwa yatatoka kama bomba, kama upo instagram ingia account ya Active mamaz hutajuta
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom