Msaada wa haraka unahitajika kuhusu HESLB

asante sana mdg wangu hyo code ya Mpesa naiweka wapi?help me out pliiz
hiyo code ya mpesa utaiingiza kuna sehemu ya kuingiza before hujafanya wala kuanza kujaza chochote ukishaingia tu kwenye ukurasa wa olams ko we fungua iyo olams then ingia utaenda sehemu ya new applicant or register utaclick apo then direct kitakuja kipengele cha kuingiza hiyo mpesa code.ni rahis sana fanya ivo usijali nawasilisha
 
hiyo code ya mpesa utaiingiza kuna sehemu ya kuingiza before hujafanya wala kuanza kujaza chochote ukishaingia tu kwenye ukurasa wa olams ko we fungua iyo olams then ingia utaenda sehemu ya new applicant or register utaclick apo then direct kitakuja kipengele cha kuingiza hiyo mpesa code.ni rahis sana fanya ivo usijali nawasilisha
hiyo code ya mpesa utaiingiza kuna sehemu ya kuingiza before hujafanya wala kuanza kujaza chochote ukishaingia tu kwenye ukurasa wa olams ko we fungua iyo olams then ingia utaenda sehemu ya new applicant or register utaclick apo then direct kitakuja kipengele cha kuingiza hiyo mpesa code.ni rahis sana fanya ivo usijali nawasilisha
hiyo code ya mpesa utaiingiza kuna sehemu ya kuingiza before hujafanya wala kuanza kujaza chochote ukishaingia tu kwenye ukurasa wa olams ko we fungua iyo olams then ingia utaenda sehemu ya new applicant or register utaclick apo then direct kitakuja kipengele cha kuingiza hiyo mpesa code.ni rahis sana fanya ivo usijali nawasilisha
hiyo code ya mpesa utaiingiza kuna sehemu ya kuingiza before hujafanya wala kuanza kujaza chochote ukishaingia tu kwenye ukurasa wa olams ko we fungua iyo olams then ingia utaenda sehemu ya new applicant or register utaclick apo then direct kitakuja kipengele cha kuingiza hiyo mpesa code.ni rahis sana fanya ivo usijali nawasilisha
[QUOTE="mimi code znakataa kusoma toka jana
 
hiyo code ya mpesa utaiingiza kuna sehemu ya kuingiza before hujafanya wala kuanza kujaza chochote ukishaingia tu kwenye ukurasa wa olams ko we fungua iyo olams then ingia utaenda sehemu ya new applicant or register utaclick apo then direct kitakuja kipengele cha kuingiza hiyo mpesa code.ni rahis sana fanya ivo usijali nawasilisha
thank u Ila hata hyo new applicant haiji au new register na ile OLAMS haifunguki kabisa
 
Nashukuru kwa msaada wenu your all greater thinkers sasa tatizo langu limebaki kwenye post form education bado cwaelewi
 
Nashukuru kwa msaada wenu your all greater thinkers sasa tatizo langu limebaki kwenye post form education bado cwaelewi
Kwani ukiingia wanakwambia nin hapo kwenye iyo post form four education? au wanaleta vitu gan au ni aifunguki?
 
Inafunguka lkn nikijaribu kuweka index nikisave neno save linaendelea kuwepo
 
Wakati wa kulipa via mpesa,kwa mtu aliyerisit anatumia index ya awali au ya kurisit?msaada wakuu
 
Wakati wa kulipa via mpesa,kwa mtu aliyerisit anatumia index ya awali au ya kurisit?msaada wakuu
hiyo code ya mpesa utaiingiza kuna sehemu ya kuingiza before hujafanya wala kuanza kujaza chochote ukishaingia tu kwenye ukurasa wa olams ko we fungua iyo olams then ingia utaenda sehemu ya new applicant or register utaclick apo then direct kitakuja kipengele cha kuingiza hiyo mpesa code.ni rahis sana fanya ivo usijali nawasilisha
 
heslb_logo.gif

1.KUPATA MENYU YA MPESA
BONYEZA *150*00#
2.BONYEZA NAMBA 4 LIPA KWA MPESA
3.CHAGUA KWA KUBONYEZA NAMBA 3 AINA YA BIASHAR UNAYOLIPIA
4.BONYEZA NAMBA 8 ELIMU
5.BONYEZA NAMBA 2 HESLB
6.BONYEZA NAMBA 1 KWA NAMBA YA KUMBUKUMBU
7.INGIZA NAMBA YA ACCOUNT AMBAYO NI NAMBA YAKO YA FORM 4 KWA MFUMO
HUU mfano: S0123.0123.2013
8.INGIZA AMMOUNT/KIASI TSHS 30000
9.WEKA NAMBA ZA SIRI
10.CONFIRM

Baada ya hapo,utatumiwa ujumbe wa MPESA wa uthibitisho,TUNZA SMS HIYO kwani utatumia code za mwanzo KU APPLY MKOPO.

MFANO WA UJUMBE:Utapokea ujumbe mfano "BA54KP432 imethibitishwa. Tsh 30,000..................

CODE UTAKAZO TUMIA NI HIZI HAPA: BA54KP432
 
Fanya hivi,
1-fungua picha,juu kabisa kwenye screen ya picha utaona open
2-click open,then click paint
3-ikifungua click resize,then pixel
4-click mshale wa chini ili namba zisiwe sawa then jaza 150,chini 120 halafu save
Uki upload lazima akubali for sure,nishamaliza step zote hizo
Sio sahihi sana- kwenye mambo hizi utasababisha kichwa kitoke kirefu balaa.... Maintain Aspect Ratio!! Adobe Photoshop at least can help!!
 
Jamani naomba msaada wa haraka jinc ya kuupload picha kwenye form za heslb kwa sababu tangu juzi nasumbuka naitaji nifahamishwe yafuatayo
1.aina ya picha inayoitajika kamani jpg, jepg, bmp png
2.ukubwa picha interms of width and height hapa naomba nifahamishwe vizuri kwani kuna vipimo vifuatavyo pixels, mm , cm na inches
Sasa naomba nijue vipimo vyake ili kuweza kuaploud kwa urahisi
3.naomba pia kujua back ground colour ya picha
4. Pia naomba kufahamishwa kila nikipiga picha masikio hayatoki sasa naweza kuaplod bila ya masikio kwani napiga cm kwa kutumia cm
Unatakiwa kupunguza sana ukubwa wa Picha iwe ndogo sana, pixel150 x 120 maximum 1 mb
 
Back
Top Bottom