Naomba kufahamishwa kuhusu kiwango sahihi cha Kulipa kodi kwa Mfanyabiashara mdogo mwenye Faida (Taxable income) ya shilingi 13,232,000/=.
Naomba anaefahamu anisaidie mapema ili niweze kulipa mapema na kuepuka faini.
Mwisho wa Mwezi huu ndio mwisho wa kupeleka malipo ya kodi bila faini kubwa.
Tafadhali msaada wenu wa haraka unahitajika.
Naomba anaefahamu anisaidie mapema ili niweze kulipa mapema na kuepuka faini.
Mwisho wa Mwezi huu ndio mwisho wa kupeleka malipo ya kodi bila faini kubwa.
Tafadhali msaada wenu wa haraka unahitajika.