mpingauonevu
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 623
- 430
Jamani ukonga banana kuna hewa nzito watu wanakohoa na kutoa machozi na wengine wameanza kutapika. Mlioko huko tujulisheni kuna nini?
Jamani ukonga banana kuna hewa nzito watu wanakohoa na kutoa machozi na wengine wameanza kutapika. Mlioko huko tujulisheni kuna nini?
Hali hiyo imeanza lini?
kiti moto labda kimezidi, si ujajua kuna baa zaidi ya 20 na zote kiti moto kwa mbele! poleni.