msaada wa haraka ndoa inavunjika

msaada wa haraka ndoa inavunjika

trust me ukishaanza kupiga nje, ndani huwezi tena, wanaume wengi wagonga nje huko nje huwa wana-perform sana but ndani ni zero! kama wataka kurudia kiwango chako acha kupiga nje!
 
naomba mwny picha ya nabii flora puleeez!!

watu8 mi nakuaminia mtani wen iti kamz tu hiz makitu za pichamo.
2Q==
images
 
OUT OF TOPIC
Hivi nabii yupo? Naomba namba yke manake mwaka ulivoanza kama SIUELWI ELEWI! Kuna msela wangu alikuwa hana kazi kaenda kumuona nabii mara moja, tena ilibidi aende saa 9 usiku kuwahi foleni, wiki ndefu! Kapata BONGE LA KAZI!!!!!!!! Afu hajarudi tena. Nikimuomba namba ya nabii ANANIZEVEZA!

Please ni PM hiyo namba maana walimwengu nmewastahimilia sanaa wanataka kunipanda kichwani.
yupo facebook kajaa tele
 
trust me ukishaanza kupiga nje, ndani huwezi tena, wanaume wengi wagonga nje huko nje huwa wana-perform sana but ndani ni zero! kama wataka kurudia kiwango chako acha kupiga nje!
ulijuaje kaka
 
Matatizo twajitakia wenyewe unatoka njee wkt kuna watu wana mahitaji yao ya kijamii wakikuroga uharibu ndoa je,utajilaumu mwenyewe,umewafuata, wenyewe........mwisho wa siku unakua kaa mbwa kwa chatu.....unajua waenda kufa unalia huku wajipeleka......stop now, you got yourself into it you can get yourself out same door you got in! Mungu akusaidie
 
OUT OF TOPIC
Hivi nabii yupo? Naomba namba yke manake mwaka ulivoanza kama SIUELWI ELEWI! Kuna msela wangu alikuwa hana kazi kaenda kumuona nabii mara moja, tena ilibidi aende saa 9 usiku kuwahi foleni, wiki ndefu! Kapata BONGE LA KAZI!!!!!!!! Afu hajarudi tena. Nikimuomba namba ya nabii ANANIZEVEZA!

Please ni PM hiyo namba maana walimwengu nmewastahimilia sanaa wanataka kunipanda kichwani.


namba sitakupa....ila naweza kukupeleka...muda mzuri ni saa 7 usiku...
 
Mkuu hiyo itakuwa complicated situation ambayo ni ngumu kushauriana hapa JF. Sio wewe tu hiyo hali inakutokea...
 
Acha kumsingizia shetan! Shetan wako ni huyo binti unayetembea naye, tena bora umwombe msamaha mke wako.
Kinacho nitokea saizi mpakanajuta Mimi Nina mke ila katika pitapita zangu nikakutana na kabinti kanasali kwa nabii flora nikakapenda nikawa natoka nako takrabani sasa miezi Saba sasa.
Majanga yaliyo nikuta napotaka kufanya mapenzi na mke Wangu mashine usimama na uwenda round moja tu tena na Mimi ndo uwai kufika kileleni yeye anakuwa bado nikisha maliza hapo mashine aisimami tena labda mpaka asubuhi.
Lakini cha kushangaza napomuona yule binti mwili Wangu utamani kufanya mapenzi na yeye name ikitokea Niko naye mashine usimama Vila shida name game Kama kawaida hata bao tatu mpaka nne nafikisha sasa nimeshinda kuelewa Kama kuna mtu hii hali imeshamtokea basi no vyema akanishauri nini nifanye na ukizingatia nimeshajaribu eti nimuache huyo binti imekuwa ngumu anakuwa name ushawishi wa halo ya juu Sana.
Tafadhali wa jf nisaidieni nifanye nini pia samahani kwa kutokuwa muaminifu kwenye ndoa yangu shetani alinizidi ujanja
 
OUT OF TOPIC
Hivi nabii yupo? Naomba namba yke manake mwaka ulivoanza kama SIUELWI ELEWI! Kuna msela wangu alikuwa hana kazi kaenda kumuona nabii mara moja, tena ilibidi aende saa 9 usiku kuwahi foleni, wiki ndefu! Kapata BONGE LA KAZI!!!!!!!! Afu hajarudi tena. Nikimuomba namba ya nabii ANANIZEVEZA!

Please ni PM hiyo namba maana walimwengu nmewastahimilia sanaa wanataka kunipanda kichwani.

Nitafute jumatano next week nitakuwa naye Kilimanjaro hotel nina kazi naye.
 
Aisee nimependa sentensi yako shetani kakupiga bao...but u still have time to confess.,then hali yako itarudi kama awali!
 
Ndo matokeo ya zinaa

Wajanja watampiga mkeo siku si nyingi

Samahani wanaosali kwa flora si wameokoka? Bado wanafanya uzinzi na uasherati

Nakushauri tubu kwa Mungu wako, muonbe radhi mkeo
Na jua hakuna mwanamke atakayekupenda kama mkeo

Mfute huyo mzinzi mwenzio kichwani hapo mgegedo wako utafanya kaI (omba sana asiwe amekuroga mgegedo ulale doro)
 
Hahaaa!kwa staili hiyo subiri mkeo nae atapata anaemfeel,atamridhisha,we endelea na binti ukifika kwa mkeo mpake shombo,usije hapa unalia,hovyo sana wewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom